Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Kwema Wakuu!
Moja ya mambo yaliyozidi kunipa mashaka kwenye suala la dini ni pamoja na suala la ulinzi na usalama.
Ukienda Kanisani sio ajabu ukakuta Milango. Na kama utaenda siku ambayo sio ya ibada sio ajabu ukakuta Milango imefungwa na kufuli kabisa.
Kama hiyo haitoshi, Makanisa makubwa huwekwa Walinzi wa kulinda Kanisa na mali zilizomo Kanisani.
Sijui ni lini swali hili lilizuka akilini mwangu. Na sijui kwa nini lilizuka.
Ikiwa Mungu wa majeshi, kwake kuna ulinzi na usalama kwa nini Watu waweke Walinzi kwenye nyumba za miungu yao wakati mungu anauwezo wa kulinda nyumba yake mwenyewe?
Je mwanadamu anauwezo wa kulinda nyumba ya mungu wake ili vitu vya Mungu wake visiibiwe na mwanadamu mwenzake?
Nafahamu Mungu ni Mkuu, Muweza wa yote. Lakini hana nyumba duniani na Mungu hana makazi kwa sababu yeye sio kiumbe.
Ijumaa Kareem
Moja ya mambo yaliyozidi kunipa mashaka kwenye suala la dini ni pamoja na suala la ulinzi na usalama.
Ukienda Kanisani sio ajabu ukakuta Milango. Na kama utaenda siku ambayo sio ya ibada sio ajabu ukakuta Milango imefungwa na kufuli kabisa.
Kama hiyo haitoshi, Makanisa makubwa huwekwa Walinzi wa kulinda Kanisa na mali zilizomo Kanisani.
Sijui ni lini swali hili lilizuka akilini mwangu. Na sijui kwa nini lilizuka.
Ikiwa Mungu wa majeshi, kwake kuna ulinzi na usalama kwa nini Watu waweke Walinzi kwenye nyumba za miungu yao wakati mungu anauwezo wa kulinda nyumba yake mwenyewe?
Je mwanadamu anauwezo wa kulinda nyumba ya mungu wake ili vitu vya Mungu wake visiibiwe na mwanadamu mwenzake?
Nafahamu Mungu ni Mkuu, Muweza wa yote. Lakini hana nyumba duniani na Mungu hana makazi kwa sababu yeye sio kiumbe.
Ijumaa Kareem