Ikiwa Kanisa lina mlinzi ambaye ni mwanadamu iweje Watu waombe Ulinzi kwa mungu aliyeshindwa kulinda nyumba yake?

Ikiwa Kanisa lina mlinzi ambaye ni mwanadamu iweje Watu waombe Ulinzi kwa mungu aliyeshindwa kulinda nyumba yake?

Mbna hata pesa[emoji1787][emoji1787]

Hivi unajua fungu la sadaka linaendaga mpaka vatcan[emoji1787][emoji1787]


Halafu unaenda kwa padri akuombee uwe tajiri

Hata zaka ndio maana wanasisitiza kinoma kitoa ile majesuit wa vatcan wasilale njaa


Hujawai jiuliza kwanini kujenga shule kanisa wanachangisha waumim shule ikamilika km huna ada husomi shule io
Sasa watahudumiwa na nani? Uliona wapi Mlawi akawa na shamba?
 
Vitu vingine si vyakuongea kwa sauti Mungu anaweza kukubadilisha ghafla mpaka ukashangaa

Mungu wangu na wako hawafanani.

Mungu wangu hana nyumba, miungu yenu inanyumba na imejengewa nyumba.
mungu wenu anuani yake iko mbinguni. Wakwangu hana anuani kwa sababu yeye sio kiumbe. Yupo pote muda wote.

Mungu wangu hawezi kunifanya lolote kwa sababu chochote atakachofanya juu yangu ni mpango wake kabla sijazaliwa.

Miungu yenu ikikerwa kidogo ndio inaweza kufanya kwa mihemko ya kijinga kwa sababu ni miungu na sio MUNGU Mkuu
 
Mungu wangu na wako hawafanani.

Mungu wangu hana nyumba, miungu yenu inanyumba na imejengewa nyumba.
mungu wenu anuani yake iko mbinguni. Wakwangu hana anuani kwa sababu yeye sio kiumbe. Yupo pote muda wote.

Mungu wangu hawezi kunifanya lolote kwa sababu chochote atakachofanya juu yangu ni mpango wake kabla sijazaliwa.

Miungu yenu ikikerwa kidogo ndio inaweza kufanya kwa mihemko ya kijinga kwa sababu ni miungu na sio MUNGU Mkuu
Sio makosa yako
 
Sasa watahudumiwa na nani? Uliona wapi Mlawi akawa na shamba?
Hizo pesa ndio zinaleta kiburi vatcan .....kuanza kupitisha agenda rainbow .....fikiria dunia nzima kuna makanisa mangap?
 
Dini ni fiksi tu!

Papa wa Wakatoliki ana walinzi wenye mabunduki!

Ina maana hauamini ulinzi wa mungu, siyo?

Ukitumia akili kuyafikiria hayo mambo ya mungu, utaona hayaingii kabisa akilini.

Na ndo maana kwenye dini kuna ‘dogma’.
Naunga mkono hoja
 
Ni wakati wa kugundua dini ni miradi ya watu. Nyakati za mwisho, au roho inapotengana na mwili utagundua mengi. "Utashtuka,! Kumbe nilikuwa namuabudu shetani!!".
 
Kwema Wakuu!

Moja ya mambo yaliyozidi kunipa mashaka kwenye suala la dini ni pamoja na suala la ulinzi na usalama.

Ukienda Kanisani sio ajabu ukakuta Milango. Na kama utaenda siku ambayo sio ya ibada sio ajabu ukakuta Milango imefungwa na kufuli kabisa.
Kama hiyo haitoshi, Makanisa makubwa huwekwa Walinzi wa kulinda Kanisa na mali zilizomo Kanisani.

Sijui ni lini swali hili lilizuka akilini mwangu. Na sijui kwa nini lilizuka.
Ikiwa Mungu wa majeshi, kwake kuna ulinzi na usalama kwa nini Watu waweke Walinzi kwenye nyumba za miungu yao wakati mungu anauwezo wa kulinda nyumba yake mwenyewe?

Je mwanadamu anauwezo wa kulinda nyumba ya mungu wake ili vitu vya Mungu wake visiibiwe na mwanadamu mwenzake?

Nafahamu Mungu ni Mkuu, Muweza wa yote. Lakini hana nyumba duniani na Mungu hana makazi kwa sababu yeye sio kiumbe.

Ijumaa Kareem
Kinachofanya makanisa yafungwe ni kuepuka unajisi wa madhabahu, waonekana bado mchanga kiimani ukikuwa utanielewa.
 
Kinachofanya makanisa yafungwe ni kuepuka unajisi wa madhabahu, waonekana bado mchanga kiimani ukikuwa utanielewa.

Kwamba miungu inashindwa kuzuia unajisi wa kimadhabahu?
Embu kasome Torati uone ambaye sio mtakatifu akifika madhabahu ya patakatifu pake patakatifu nini kinatokea
 
Lzm kanisa lilindwe Tena na kampuni pendwa ya g4s security solution au Garda warda

Una taka mashetanj waje wanye na kujisadia kanisani na kutupa matakataka Yao

Kimara korogwe wapo walinzi na camera za CCTV iko kila Kona

Na bado kanisa linajaribiwa mno

Ni muhimu kumlindia mungu nyumba yake
Periods
Mungu wenu mmemjengea nyumba,mnatoa fungu la kumi,maana Hana hata mia,mnatoa sadaka ya kuteketeza..anapenda nyama choma,mnalinda nyumba yake..hawezi Linda mwenyewe
 
Kwema Wakuu!

Moja ya mambo yaliyozidi kunipa mashaka kwenye suala la dini ni pamoja na suala la ulinzi na usalama.

Ukienda Kanisani sio ajabu ukakuta Milango. Na kama utaenda siku ambayo sio ya ibada sio ajabu ukakuta Milango imefungwa na kufuli kabisa.
Kama hiyo haitoshi, Makanisa makubwa huwekwa Walinzi wa kulinda Kanisa na mali zilizomo Kanisani.

Sijui ni lini swali hili lilizuka akilini mwangu. Na sijui kwa nini lilizuka.
Ikiwa Mungu wa majeshi, kwake kuna ulinzi na usalama kwa nini Watu waweke Walinzi kwenye nyumba za miungu yao wakati mungu anauwezo wa kulinda nyumba yake mwenyewe?

Je mwanadamu anauwezo wa kulinda nyumba ya mungu wake ili vitu vya Mungu wake visiibiwe na mwanadamu mwenzake?

Nafahamu Mungu ni Mkuu, Muweza wa yote. Lakini hana nyumba duniani na Mungu hana makazi kwa sababu yeye sio kiumbe.

Ijumaa Kareem
Mkuu naomba kujua kwanza imani yako kama ni mkristo au muislam Kisha nikupe jibu kama hutojali
 
Kwamba miungu inashindwa kuzuia unajisi wa kimadhabahu?
Embu kasome Torati uone ambaye sio mtakatifu akifika madhabahu ya patakatifu pake patakatifu nini kinatokea
Akasome torati sura ya ngapi na mstari wa ngapi? Maana torati imeelezea mambo mengi
 
Ni wakati wa kugundua dini ni miradi ya watu. Nyakati za mwisho, au roho inapotengana na mwili utagundua mengi. "Utashtuka,! Kumbe nilikuwa namuabudu shetani!!".
Inategemea unaabudu dini gani ndugu. Angalia usije ukajuta mbele ya safari
 
Kwema Wakuu!

Moja ya mambo yaliyozidi kunipa mashaka kwenye suala la dini ni pamoja na suala la ulinzi na usalama.

Ukienda Kanisani sio ajabu ukakuta Milango. Na kama utaenda siku ambayo sio ya ibada sio ajabu ukakuta Milango imefungwa na kufuli kabisa.
Kama hiyo haitoshi, Makanisa makubwa huwekwa Walinzi wa kulinda Kanisa na mali zilizomo Kanisani.

Sijui ni lini swali hili lilizuka akilini mwangu. Na sijui kwa nini lilizuka.
Ikiwa Mungu wa majeshi, kwake kuna ulinzi na usalama kwa nini Watu waweke Walinzi kwenye nyumba za miungu yao wakati mungu anauwezo wa kulinda nyumba yake mwenyewe?

Je mwanadamu anauwezo wa kulinda nyumba ya mungu wake ili vitu vya Mungu wake visiibiwe na mwanadamu mwenzake?

Nafahamu Mungu ni Mkuu, Muweza wa yote. Lakini hana nyumba duniani na Mungu hana makazi kwa sababu yeye sio kiumbe.

Ijumaa Kareem


We aliekwambia Mungu anahitaji jengo nan.. unajua maana ya kanisa...

Imeandikwa.. wakutanapo watu wawili au watatu wakayanena na kufundishana niliyowaagiza kuyafanya na kuomba pamoja kwa kulitaja jina langu basi mimi nipo katikati yao..

Kanisa sio jengo hata mkikaaa chini ya mti mkasali hilo ni kanisa.. binadam ndo mmeamua kujenga majengo na kuweka mali ndan mnaweka walinzi sababu mna hofu ya mali zenu.. vilivyopo ndan ya kanisa sio mali ya Mungu ni zenu nyie

Mungu alipompa binadam Maarifa ya kuitawala dunia maana yake alimpa
Uwezo wa kutambua mema na mabaya..
Sasa ni swala La binadam Kuamua akengeuke ama awe safi..

Unachosema ni sawa na mwalimu amfundishe mwanafunzi na kumpa maarifa kisha siku ya mtihan mwalimu aamue kumsaidia mwanafunzi kufanya mtihan ili Asifeli
 
Muombe roho Mtakatifu akufunulie mambo magumu badala ya kuandika ujuaji hadharani.

Usipoelewa huu ufafanuzi basi una tatizo kubwa la uelewa:

Kwanza, unatakiwa utambue kinachotukutanisha au kuwakutanisha watu kanisani sio jengo ni Imani maana Mwenyezi Mungu amesema kwamba wakutanikapo watu wawili au zaidi Kwa jina lake yupo katikati yao. Kwa hiyo ni Imani.

Pili, mlinzi anawekwa kulinda Mali za kanisa au misikiti na Mwenyezi Mungu analinda Imani za waamini wake. Imani haiwezi kuibiwa.

Tatu, sio Kila anayeingia kanisani ni mwema kiasi hicho wengine wana nia ovu za kibinadamu ndio maana wanawekwa Walinzi wakisaidiwa na ulinzi wa Roho Mtakatifu tunaamini watasaidia kudhibiti na kufifisha nia ovu za wengine.

Nne, Kanisa inakuwa nyumba ya Mungu pale waamini wanapokutana Kwa Imani kufanya ibada ndio maana muda huo ulinzi unakuwa ni Kwa Mungu lakini muda mwingine wowote kanisa ni jengo ambalo linahitaji ulinzi wa ziada pia.
 
Back
Top Bottom