Sasa watahudumiwa na nani? Uliona wapi Mlawi akawa na shamba?Mbna hata pesa[emoji1787][emoji1787]
Hivi unajua fungu la sadaka linaendaga mpaka vatcan[emoji1787][emoji1787]
Halafu unaenda kwa padri akuombee uwe tajiri
Hata zaka ndio maana wanasisitiza kinoma kitoa ile majesuit wa vatcan wasilale njaa
Hujawai jiuliza kwanini kujenga shule kanisa wanachangisha waumim shule ikamilika km huna ada husomi shule io
Acha ww katoliki kuna kipindi waweka pesa kwenye bahasha ziombewe... japo haiwagi segment ya kwenye misaHakuna padri anayeombea watu utajiri
Vitu vingine si vyakuongea kwa sauti Mungu anaweza kukubadilisha ghafla mpaka ukashangaa
Mke wangu yup mkuu , haji ni nani ? Vijna beti imeshaanza kuwaharibu.Mbona hulalamiki kwanini haji kukutilia mimba mkeo kwa sababu ni muweza wa yote?
Sio makosa yakoMungu wangu na wako hawafanani.
Mungu wangu hana nyumba, miungu yenu inanyumba na imejengewa nyumba.
mungu wenu anuani yake iko mbinguni. Wakwangu hana anuani kwa sababu yeye sio kiumbe. Yupo pote muda wote.
Mungu wangu hawezi kunifanya lolote kwa sababu chochote atakachofanya juu yangu ni mpango wake kabla sijazaliwa.
Miungu yenu ikikerwa kidogo ndio inaweza kufanya kwa mihemko ya kijinga kwa sababu ni miungu na sio MUNGU Mkuu
Hizo pesa ndio zinaleta kiburi vatcan .....kuanza kupitisha agenda rainbow .....fikiria dunia nzima kuna makanisa mangap?Sasa watahudumiwa na nani? Uliona wapi Mlawi akawa na shamba?
Naunga mkono hojaDini ni fiksi tu!
Papa wa Wakatoliki ana walinzi wenye mabunduki!
Ina maana hauamini ulinzi wa mungu, siyo?
Ukitumia akili kuyafikiria hayo mambo ya mungu, utaona hayaingii kabisa akilini.
Na ndo maana kwenye dini kuna ‘dogma’.
Kinachofanya makanisa yafungwe ni kuepuka unajisi wa madhabahu, waonekana bado mchanga kiimani ukikuwa utanielewa.Kwema Wakuu!
Moja ya mambo yaliyozidi kunipa mashaka kwenye suala la dini ni pamoja na suala la ulinzi na usalama.
Ukienda Kanisani sio ajabu ukakuta Milango. Na kama utaenda siku ambayo sio ya ibada sio ajabu ukakuta Milango imefungwa na kufuli kabisa.
Kama hiyo haitoshi, Makanisa makubwa huwekwa Walinzi wa kulinda Kanisa na mali zilizomo Kanisani.
Sijui ni lini swali hili lilizuka akilini mwangu. Na sijui kwa nini lilizuka.
Ikiwa Mungu wa majeshi, kwake kuna ulinzi na usalama kwa nini Watu waweke Walinzi kwenye nyumba za miungu yao wakati mungu anauwezo wa kulinda nyumba yake mwenyewe?
Je mwanadamu anauwezo wa kulinda nyumba ya mungu wake ili vitu vya Mungu wake visiibiwe na mwanadamu mwenzake?
Nafahamu Mungu ni Mkuu, Muweza wa yote. Lakini hana nyumba duniani na Mungu hana makazi kwa sababu yeye sio kiumbe.
Ijumaa Kareem
Mambo ya dini ukiyatafakari sana 🙌!
Hii italeta mtafaruku kwa kina FaizaFoxy adriz Bwana Utam na Malaria 2Halafu kuna ulinzi wa majini misikitini
Kinachofanya makanisa yafungwe ni kuepuka unajisi wa madhabahu, waonekana bado mchanga kiimani ukikuwa utanielewa.
Mungu wenu mmemjengea nyumba,mnatoa fungu la kumi,maana Hana hata mia,mnatoa sadaka ya kuteketeza..anapenda nyama choma,mnalinda nyumba yake..hawezi Linda mwenyeweLzm kanisa lilindwe Tena na kampuni pendwa ya g4s security solution au Garda warda
Una taka mashetanj waje wanye na kujisadia kanisani na kutupa matakataka Yao
Kimara korogwe wapo walinzi na camera za CCTV iko kila Kona
Na bado kanisa linajaribiwa mno
Ni muhimu kumlindia mungu nyumba yake
Periods
Mkuu naomba kujua kwanza imani yako kama ni mkristo au muislam Kisha nikupe jibu kama hutojaliKwema Wakuu!
Moja ya mambo yaliyozidi kunipa mashaka kwenye suala la dini ni pamoja na suala la ulinzi na usalama.
Ukienda Kanisani sio ajabu ukakuta Milango. Na kama utaenda siku ambayo sio ya ibada sio ajabu ukakuta Milango imefungwa na kufuli kabisa.
Kama hiyo haitoshi, Makanisa makubwa huwekwa Walinzi wa kulinda Kanisa na mali zilizomo Kanisani.
Sijui ni lini swali hili lilizuka akilini mwangu. Na sijui kwa nini lilizuka.
Ikiwa Mungu wa majeshi, kwake kuna ulinzi na usalama kwa nini Watu waweke Walinzi kwenye nyumba za miungu yao wakati mungu anauwezo wa kulinda nyumba yake mwenyewe?
Je mwanadamu anauwezo wa kulinda nyumba ya mungu wake ili vitu vya Mungu wake visiibiwe na mwanadamu mwenzake?
Nafahamu Mungu ni Mkuu, Muweza wa yote. Lakini hana nyumba duniani na Mungu hana makazi kwa sababu yeye sio kiumbe.
Ijumaa Kareem
Akasome torati sura ya ngapi na mstari wa ngapi? Maana torati imeelezea mambo mengiKwamba miungu inashindwa kuzuia unajisi wa kimadhabahu?
Embu kasome Torati uone ambaye sio mtakatifu akifika madhabahu ya patakatifu pake patakatifu nini kinatokea
Inategemea unaabudu dini gani ndugu. Angalia usije ukajuta mbele ya safariNi wakati wa kugundua dini ni miradi ya watu. Nyakati za mwisho, au roho inapotengana na mwili utagundua mengi. "Utashtuka,! Kumbe nilikuwa namuabudu shetani!!".
Kwema Wakuu!
Moja ya mambo yaliyozidi kunipa mashaka kwenye suala la dini ni pamoja na suala la ulinzi na usalama.
Ukienda Kanisani sio ajabu ukakuta Milango. Na kama utaenda siku ambayo sio ya ibada sio ajabu ukakuta Milango imefungwa na kufuli kabisa.
Kama hiyo haitoshi, Makanisa makubwa huwekwa Walinzi wa kulinda Kanisa na mali zilizomo Kanisani.
Sijui ni lini swali hili lilizuka akilini mwangu. Na sijui kwa nini lilizuka.
Ikiwa Mungu wa majeshi, kwake kuna ulinzi na usalama kwa nini Watu waweke Walinzi kwenye nyumba za miungu yao wakati mungu anauwezo wa kulinda nyumba yake mwenyewe?
Je mwanadamu anauwezo wa kulinda nyumba ya mungu wake ili vitu vya Mungu wake visiibiwe na mwanadamu mwenzake?
Nafahamu Mungu ni Mkuu, Muweza wa yote. Lakini hana nyumba duniani na Mungu hana makazi kwa sababu yeye sio kiumbe.
Ijumaa Kareem