Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #21
Nipo hapa kwenye mahafali, na naona dogo ndyo kola yake imekaa vizuri kuliko wote, wegine kola zao zimebana sana mpaka shingoniVazi la juu wameharibu muundo wa kora.
Ingekuwa na muundo wa V ingependeza sana,ila hapo mtu anakuwa kama chef/ mpishi. Designer kazingua hapo tu,ila unyama mwingi.