Kama ni hivyo basi huyu Mbowe yuko juu ya serikali yote ya CCM kiasi anaua watu na kuisingizia serikali nayo serikali inamgwaya huyu Mbowe ni mtu very powerful hadi kaiweka serikali ya CCM mfukoni mwake.
Vipi kuhusu waraka wake? Mbona kama vile ndio chanzo cha kifo chake ukiusoma vizuri ukauelewa?
Kwa nini ukigombea uenyekiti CDM unakuwa adui wa Mbowe na genge lake?
Uadui unakuwa mkubwa wa kiwango cha kutishia hata usalama wako.