Ikiwa Mbowe hakukamatwa kwa sababu ya Kongamano la Katiba Mpya, wengine wameshikiliwa kwa kosa gani?

Mungu ibariki CHADEMA
 
Peleka uji wewe acha mbwembwe za JF
 
Tatizo ni elimu elimu
 
Nisaidie elimu ya mh Mbowe ni ya level ipi?
 
Kazi kweli kweli
 
Lile swala la mtu aliyefeli Form IV aende kujifunza kuwa Police ndio limeleta haya tunayoona leo.

Akawasha gari akateleza...
 
that's
 
Endelea kuchekelea maovu
Mbona wewe the real and only Mwamba alipokufa ulifurahi? Acha nasi tufurahie jamaa kuwa lupango. Huu ni mpango wa mungu kuadhibu wote waliofurahia masiha JPM kufariki. Wahi kupeleka chakula cha jioni lupango usije ukaachika bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…