CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
Basi mbowe atakuwa mwamba imara aisee,kama alikuwa na uwezo Wa kuondoa ulinzi na camera kwenye hilo jengo basi ana nguvu kuliko hata rais.yaweza kuwa Mbowe alipanga mauaji ya Tundu Lisu ngoja tuone
Inavyoonekana ni mkakati wa mwendazake na TISS uliokuwa mezani wa kudeal na wapinzani baada ya uchaguzi kwisha, sasa mama anautekeleza tu, maana kulikuwepo na taarifa kuwa lisu walitaka kumpa kesi ya uhaini.Uongo wa polisi ni wa kitoto sana, hii mbinu ya kuwapa watu mashtaka ya uongo ni ya kizamani sana, naamini Mbowe ataendelea kuwa jasiri asieyumbishwa kama kawaida yake.
unaweza kuweka ushahidi hapa wa mimi kufurahia kufa kwa Magufuli ?Mbona wewe the real and only Mwamba alipokufa ulifurahi? Acha nasi tufurahie jamaa kuwa lupango. Huu ni mpango wa mungu kuadhibu wote waliofurahia masiha JPM kufariki. Wahi kupeleka chakula cha jioni lupango usije ukaachika bure
Hivi mama samia alipompa salamu za pole juzi ina maana alikuwa ana mpa pole gaidi?hapa ndio nashindwa kuelewaPolisi Tanzania, nadhani kwa sasa ndio Taasisi inayotia aibu zaidi duniani, Walimkamata Mbowe na wenzake kwa kuandaa kongamano la Katiba mpya, mitaa yote ya Mwanza walimwagwa polisi na hotel kulikopangwa kufanyika kongamano hilo ikiwekwa chini ya Ulinzi mkali kuanzia ndani hadi nje na kuzungushiwa utepe wa hatari.
Viongozi kadhaa walidakwa na kupelekwa rumande hadi dakika hii (Dunia nzima inajua), sasa leo wanakuja na ngonjera za kiwango cha chini kwamba Mh Mbowe hakukamatwa kwa sababu ya kongamano hilo , bali alikamatwa kwa tuhuma za ugaidi na kupanga njama za kuua viongozi wa serikali.
Sasa swali ni hili: Wale wengine waliokamatwa sambamba na Mbowe walikamatwa kwa sababu zipi?
kwa uzoefu wako hapa jf unapaswa kujikita kwenye hojaHapana sio Katiba Polisi wamesema Mbowe Gaidi kwa Sabaya mlisema polisi wanatenda haki na DPP Safi anaupiga mwingi kwa Mbowe mnasema kaonewa sasa jamani polisi ni wale wale hawajabadilika tuwasifie Kama kwa Sabaya.
Majeda yako kzn yule ni kivuli tu wanamtaka yule wa ubeligiji na yy yumo watasombwa weengikwa uzoefu wako hapa jf unapaswa kujikita kwenye hoja
majeda yako kzn ukiona jeda analia jua kuna jambo yatasafisha wajuaji wooteInavyoonekana ni mkakati wa mwendazake na TISS uliokuwa mezani wa kudeal na wapinzani baada ya uchaguzi kwisha, sasa mama anautekeleza tu, maana kulikuwepo na taarifa kuwa lisu walitaka kumpa kesi ya uhaini.
Gaidi a terrorist behind the barskwa uzoefu wako hapa jf unapaswa kujikita kwenye hoja
gaidi muuaji behind the barsBasi mbowe atakuwa mwamba imara aisee,kama alikuwa na uwezo Wa kuondoa ulinzi na camera kwenye hilo jengo basi ana nguvu kuliko hata rais.
Ni kwa sababu ya katiba ya hovyo kabisa.Hii ni taasisi hovyo kabisa
MiBavicha na michadema imewekwa kwenye kona lenye joto na inahaha kwa mhaho. Mechi ndio imeanza mnakabiwa juu...Polisi Tanzania, nadhani kwa sasa ndio Taasisi inayotia aibu zaidi duniani, Walimkamata Mbowe na wenzake kwa kuandaa kongamano la Katiba mpya, mitaa yote ya Mwanza walimwagwa polisi na hotel kulikopangwa kufanyika kongamano hilo ikiwekwa chini ya Ulinzi mkali kuanzia ndani hadi nje na kuzungushiwa utepe wa hatari.
Viongozi kadhaa walidakwa na kupelekwa rumande hadi dakika hii (Dunia nzima inajua), sasa leo wanakuja na ngonjera za kiwango cha chini kwamba Mh Mbowe hakukamatwa kwa sababu ya kongamano hilo , bali alikamatwa kwa tuhuma za ugaidi na kupanga njama za kuua viongozi wa serikali.
Sasa swali ni hili: Wale wengine waliokamatwa sambamba na Mbowe walikamatwa kwa sababu zipi?