Kama kweli mission ya covd ni kupunguza ongezeko la watu Duniani, basi huo ni mpango wa kidicteta uliopitiliza
Kwa sababu mission hii, haibagui wema wala majambazi!
Ninachotaka kusema, Wakubwa wa Dunia hii ni watu wanaocheza na akili zetu ili tusitoke mahali pa kuombaomba misaada kwao na kuishia masikini wa kutupwa
Wametulazimisha tuishi na wavunja sheria, waizi, mafisadi, mandamano yasiyo na kichwa wala mguu, haki za mashoga na magaidi kwa kisingizio cha haki za binadamu na Demokrasia
Lakini wao wakipanga mission zao huwa hazimsikilizi mtu mwema wala mbaya, ni fagio la chuma
Ninazionya nchi hizi zinaoendekeza kitu kinaitwa Demokrasia na haki za binadamu, zipuuze jambo hilo, watunge sheria kali za kudhibiti vikali watu wala rushwa, fisadi, magaidi,wezi, wahujumu uchumi, na wavunja sheria wote kwa shiria za kuwatia kitanzi bila huruma na mbele ya watu,
Embu tuambizaneni ukweli ingawa wengi kwenye kitu inaitwa Demokrasia na haki za binadamu mnaneemeka, Ni nchi gani itapiga hatua kwa kuvumilia vitendo vya kifisadi, uzembe, ugaidi, wizi wa fedha za wananchi, uhujumu uchumi kwa kigezo cha haki za binadamu eti wapewe nafasi wajitetetee?
Ni nchi gani itaendelea ikiwa kiongozi mkuu wa nchi naye atajihusisha katika kupora mali za wanachi, na kibaya zaidi anakwiba na kwenda kuwekeza nchi za nje huko, tena sheria ambazo nchi inapaswa itungwe, ni ya kumfanya kiongozi awe kioo na awe wa kwanza kutiwa kitanzi ikiwa atakwiba mali za wananchi,Hii inaitwa, kiongozi kuonyesha njia
Viongozi wanakuwa majizi na mafisadi, hayawezi kushitakiwa wala kuadhibiwa, Hizi Deomkrasia hizi zinawafanya watu waone kila kosa ni lepesi, kwani wanaamini hata wakiiiba na ushahidi ukawepo, bado watapelekwa mahakamani ili wakatoe rushwa na hatimaye washinde, nchi itajinasua kweli?
Demokrasia na haki za binadamu ni nzuri kwa watu wema, ila kwa wachochea vurugu, magaidi, wezi, wala rushwa, wazembe, wauwaji n.k ni kuendelea kuiweka jamii katika wimbi la umasikini mkubwa
Kwa sababu mission hii, haibagui wema wala majambazi!
Ninachotaka kusema, Wakubwa wa Dunia hii ni watu wanaocheza na akili zetu ili tusitoke mahali pa kuombaomba misaada kwao na kuishia masikini wa kutupwa
Wametulazimisha tuishi na wavunja sheria, waizi, mafisadi, mandamano yasiyo na kichwa wala mguu, haki za mashoga na magaidi kwa kisingizio cha haki za binadamu na Demokrasia
Lakini wao wakipanga mission zao huwa hazimsikilizi mtu mwema wala mbaya, ni fagio la chuma
Ninazionya nchi hizi zinaoendekeza kitu kinaitwa Demokrasia na haki za binadamu, zipuuze jambo hilo, watunge sheria kali za kudhibiti vikali watu wala rushwa, fisadi, magaidi,wezi, wahujumu uchumi, na wavunja sheria wote kwa shiria za kuwatia kitanzi bila huruma na mbele ya watu,
Embu tuambizaneni ukweli ingawa wengi kwenye kitu inaitwa Demokrasia na haki za binadamu mnaneemeka, Ni nchi gani itapiga hatua kwa kuvumilia vitendo vya kifisadi, uzembe, ugaidi, wizi wa fedha za wananchi, uhujumu uchumi kwa kigezo cha haki za binadamu eti wapewe nafasi wajitetetee?
Ni nchi gani itaendelea ikiwa kiongozi mkuu wa nchi naye atajihusisha katika kupora mali za wanachi, na kibaya zaidi anakwiba na kwenda kuwekeza nchi za nje huko, tena sheria ambazo nchi inapaswa itungwe, ni ya kumfanya kiongozi awe kioo na awe wa kwanza kutiwa kitanzi ikiwa atakwiba mali za wananchi,Hii inaitwa, kiongozi kuonyesha njia
Viongozi wanakuwa majizi na mafisadi, hayawezi kushitakiwa wala kuadhibiwa, Hizi Deomkrasia hizi zinawafanya watu waone kila kosa ni lepesi, kwani wanaamini hata wakiiiba na ushahidi ukawepo, bado watapelekwa mahakamani ili wakatoe rushwa na hatimaye washinde, nchi itajinasua kweli?
Demokrasia na haki za binadamu ni nzuri kwa watu wema, ila kwa wachochea vurugu, magaidi, wezi, wala rushwa, wazembe, wauwaji n.k ni kuendelea kuiweka jamii katika wimbi la umasikini mkubwa