ujuaji Sasa! hata ujinga unateteaWewe unazifuata sheria zote? by the way, kutovaa helmet sio kosa kama ameandikiwa kibali na daktari au waziri wa mambo ya ndani, ulimuuliza kibali?
WaTz kwa kuendekeza ujinga! Helmet na siasa za waziri ni wapi na wapi? Waliotengeneza pikipiki ni wajinga kwa kubuni kifaa cha kuwakinga watumiaji wakati wa ajali?Wewe unazifuata sheria zote? by the way, kutovaa helmet sio kosa kama ameandikiwa kibali na daktari au waziri wa mambo ya ndani, ulimuuliza kibali?
Tunamuongelea kiongozi mwandamizi hapa, usihamishe mjadala kwa Lissu. Je watu wa Lissu wakija na sababu kama yako ambayo haina mashiko utasema nini, au kwa sababu ni wa Lissu basi kosa litakuwa palepale?Je wanaomsindikizaga na mapikipiki Lissu wamebebana wanne mpaka watano bila helmet na mabendera wao wanafata sheria za nch gani?
Ujinga ni ugonjwa Mkuu Kama magonjwa mengine ni vile hakuna tiba yake ndio maana unaona majibu ya ajabu kila kukicha..WaTz kwa kuendekeza ujinga! Helmet na siasa za waziri ni wapi na wapi? Waliotengeneza pikipiki ni wajinga kwa kubuni kifaa cha kuwakinga watumiaji wakati wa ajali?
Tabibu gani mpumbavu atakayetaka mpanda pikipiki asivae hiyo kofia?
Helmet,condom,barakoa nk ni vifaa kinga , si wote hutumia na kuzingatia hasa condom ndio maana takwimu za ukimwi haziteremkiKuna video inazunguka kwenye mitandao ya kijamii.
Video hiyo inamuonesha msajili msaidizi wa vyama vya siasa akiwa Hana helmet akielekea ofisi za Chadema!
Je; Utii wa Sheria bila shuruti huwa ni kwa ajili ya nani ikiwa viongozi wakubwa Kama huyu hawazingatii Sheria?
Ikiwa Sheria za barabarani tu kashindwa kuzifuata je; ataweza kweli kusimamia ipasavyo Sheria za vyama vya siasa?
kwelHelmet,condom,barakoa nk ni vifaa kinga , si wote hutumia na kuzingatia hasa condom ndio maana takwimu za ukimwi haziteremki
Tumuonee tu huruma maana kwa pressure aliyonayo angeweza hata kufungua mlango akidhani boda ni vxKuna video inazunguka kwenye mitandao ya kijamii.
Video hiyo inamuonesha msajili msaidizi wa vyama vya siasa akiwa Hana helmet akielekea ofisi za Chadema!
Je; Utii wa Sheria bila shuruti huwa ni kwa ajili ya nani ikiwa viongozi wakubwa Kama huyu hawazingatii Sheria?
Ikiwa Sheria za barabarani tu kashindwa kuzifuata je; ataweza kweli kusimamia ipasavyo Sheria za vyama vya siasa?
[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]😡 😡 😡
Duu kwahiyo kumbe ana kibali maalum ?Wewe unazifuata sheria zote? by the way, kutovaa helmet sio kosa kama ameandikiwa kibali na daktari au waziri wa mambo ya ndani, ulimuuliza kibali?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na mkanda hakufunga
Hakuna binadamu aliyekamilika kwa 100% kila mmoja ana mapungufu yake pamoja na kujisahau.Kuna video inazunguka kwenye mitandao ya kijamii.
Video hiyo inamuonesha msajili msaidizi wa vyama vya siasa akiwa Hana helmet akielekea ofisi za Chadema!
Je; Utii wa Sheria bila shuruti huwa ni kwa ajili ya nani ikiwa viongozi wakubwa Kama huyu hawazingatii Sheria?
Ikiwa Sheria za barabarani tu kashindwa kuzifuata je; ataweza kweli kusimamia ipasavyo Sheria za vyama vya siasa?
Above all, Hakuna binadamu aliyekamilika kwa 100% kila mmoja ana mapungufu yake pamoja na kujisahau.Wewe unazifuata sheria zote? by the way, kutovaa helmet sio kosa kama ameandikiwa kibali na daktari au waziri wa mambo ya ndani, ulimuuliza kibali?
DuhTumuonee tu huruma maana kwa pressure aliyonayo angeweza hata kufungua mlango akidhani boda ni vx
wengine wanapokamatwa kwa kutovaa helmet huwa wamekamilika?Hakuna binadamu aliyekamilika kwa 100% kila mmoja ana mapungufu yake pamoja na kujisahau.