Huruma siyo malezi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 1,433
- 3,210
Ngoja tukujibu - unaweza ukawa na Corona na usionyeshe dalili. Ila unaweza kuja kufa ghafla. Kwa hiyo hata wewe huenda una wadudu wa Corona kibao lakini huonyeshi dalili. Siku moja labda ukipata mafua kidogo tu unaondoka ghafla.Swali Lina baki pale pale USIPOPIMA HIZO DALILI HAZIONEKANI?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo Tanzania hawapimi kwa kuwa Raisi wetu Magu hataki wananchi wake tuchokonelewe pua? Na kwa hilo unaimba mapambio kumsifia Magu?Jamaa anataka tuanze kuchokonoana pua na koo!!
Yale madude bwana wanakuchokonoa hadi unajisikia kufakufa.
Ngoja tukujibu - unaweza ukawa na Corona na usionyeshe dalili. Ila unaweza kuja kufa ghafla. Kwa hiyo hata wewe huenda una wadudu wa Corona kibao lakini huonyeshi dalili. Siku moja labda ukipata mafua kidogo tu unaondoka ghafla.
Tumesema hivi, katika hili suala kuna wapumbavu. Iliyobaki ni kuamua, kutokana na kauli zao, yupi ni mpumavu na yupi si mpumbavu. Na wewe tumeshajua uko wapi.Corona ugonjwa wa akili ukipuuza haupati..
Mheshimiwa Rais Magufuli kwa hili kapatia bongo ni business as usual...
Watu wangekua wanaumwa mamia kwa mamia hakuna mtu ambaye angrpeleka pua yake hayo maeneo uliyotaja bila tahadhari
Kwa sababu utakuwa unawaambukiza wengine bila kujua.sasa kama unaweza ukawa na corona na usiwe Na dalili kuna umuhimu gani wa KUPIMA CORONA?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Kwa sababu utakuwa unawaambukiza wengine bila kujua.
Ni sawa na ukimwi. Kwani kama unaweza kuwa na ukimwi na usiwe na dalili kuna haja gani ya kupima, si uendelee tu kujirusha? Ujinga gani huu wa kutaka watu wakapime ukimwi wakati hawana dalili?
Upo mpaka hapo?
Mkuu una kiingereza kigumu🤫Takwimu izi mnazosema mnatAka ndo Kama biostatistics ?
Hizo ndio arguments unataka Magufuli apeleke WHO? Naona hujui mambo ya takwimu katika mambo ya magonjwa ya kuambukiza. Takwimu za Covid-19 maana yake sio kuhesabu wagonjwa! Shule utajirir bila shaka.
Kwa sababu si wote tunachagua kwa makusudi kuwa wapumbavu. Kama huna Corona, kwa nini unakataa kufanya testing chache kwa muda mfupi kuthibitisha huna Corona? Unaogopa nini?...
Hili swali serikali imekua inaulizwa na mataifa huko duniani halafu wanakosa majibu!Sio nia yangu kupingana na serikali yangu, lakini acha ukweli uwe ukweli. NIlishasema humu JF kwamba, kama viongozi wetu wanataka tuamini kwamba hatuna tatizo la Covid-19 nchini na hata kuutangazia ulimwengu kwamba hapa kwetu Tanzania tuko salama kabisa, basi angalau kwa wiki mbili mfululizo tupime watu angalau 50 kwa siku pale Kariakoo sokoni, Manzese, Temeke na Kinondoni. Tukiona hawa watu 200 tutakaowapima kila siku, hata kama ni juu kidogo ya 50% hawana Covid-19 basi tuutangazie ulimwengu kwamba hatuna Covid-19....
Hili ni swali mtu mzima kama wewe unaliza mbele ya watu kweli?Synthesizer, takwimu zitakusaidia nini wewe? Huna chanjo, huna dawa, hufanyi utafiti wa kupata dawa, n.k n.k halafu unataka takwimu? Halafu ukishazipata, so what??
Acha ujinga!
Hahahah, mambo ya ajabu kabisa, takwimu Waziri mkuu alishawapa, kwamba wagonjwa ni kama wameisha, ila hawataki kuamini, sasa tufanyeje?Aisee takwimu inakuwaje kwenye kitu akuna.
Yaani sifugi kuku alafu nikupe takwimu za kuku.
Wewe mzur wa takwimu na mwenye sifa nzuri za kujiuza kauze hizo takwimu zako huko nje wanako zihitaji zaidiYaani wewe masuala ya takwimu yamekupitia mbali mno! Ni vema ukae kimya tu, maana unaonyesha sifa yako fulani hapa ambayo sio nzuri watu waijue!
Hili ni swali mtu mzima kama wewe unaliza mbele ya watu kweli?
Unatia huruma sana..
Hujui umuhimu wa kujua takwimu za casualities?...
Hili swali serikali imekua inaulizwa na mataifa huko duniani halafu wanakosa majibu!
Wanatia huruma sana!
Hakuna umuhimu wa kuumizana wakati kitu chenyewe hakina dawa, wacha kinga ya mwili ifanye kazi yake. Malimao tangawizi vipo tele na mivukizo kama yote.Kwa hiyo Tanzania hawapimi kwa kuwa Raisi wetu Magu hataki wananchi wake tuchokonelewe pua? Na kwa hilo unaimba mapambio kumsifia Magu?