pilato93
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 6,296
- 6,692
Watasemw ni uvivuIla kweli kwa ufanisi wa zoezi hili muhimu tar 23 ilipawa wafanyakazi wawepo majumbani kwao. Walau kwa siku hiyo tu.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watasemw ni uvivuIla kweli kwa ufanisi wa zoezi hili muhimu tar 23 ilipawa wafanyakazi wawepo majumbani kwao. Walau kwa siku hiyo tu.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Si walishaambiwa waache taarifa zao siku ya kuamkia 23Kwa mujibu wa Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi, Mama Anna Makinda ametoa tangazo kwamba siku ya sensa, tarehe 23/08/2022 ambayo itakuwa Jumanne, haitakuwa siku ya mapumziko. Haya ni maajabu.View attachment 2322941
Kwa mujibu wa historia ya sensa za miongo miwili iliyopita, inaonesha ili kuwapata watu wote majumbani basi sensa zilifanyika siku za mapumziko yaani Jumamosi na Jumapili.Mwaka 2002 sensa ilianza kufanyika usiku wa tarehe 24 kuamkia 25 Agosti ambayo ilikuwa ni Jumamosi kuamkia Jumapili. Mwaka 2012 sensa ilifanyika tarehe 26 Agosti ambayo ilikuwa Jumapili.Cha kushangaza sensa ya mwaka huu 2022, tarehe iliyopangwa ni 23 Agosti ambayo itaangukia siku ya Jumanne, siku ambayo ni ya kazi, na wanasema hakutakuwa na mapumziko.
Hapa bila hata ya kutumia akili za rocket science hawatapata data zote kwa siku hiyo maana wengi watakuwa makazini, na hata wale watakaowakuta majumbani watakuwa na data nusunusu maana wengi watakuwa watoto na wafanyakazi wa majumbani ambao wanajua majina tuu, huenda hata wasijue nyumba wanayoishi ni ya wazazi wao ama ni ya kupanga.
Kwa jinsi nilivyosikia hii sensa inahitaji data nyingi mpaka viwanja na nyumba anazomiliki mtu, namba za NIDA, taarifa za walemavu, taarifa za vifo vya wazazi, taarifa za vifo vitokanavyo na uzazi, nk basi tutegemee hii sensa kuchukua zaidi ya wiki sababu ya kutopatikana kwa watu watakaotoa data zote kwa siku moja.
Bandiken raarifa zenu kwenye milango yenu siku za kuamkia 23 kabla hujatoka.NAONA BAADHI YA WATU KUGOMEA HILI ZOEZI NA HATA DATA HAWATAZIPATA ZA KUTOSHA
Mathalani nyumbani ninapokaa wote tunatoka asubuhi na kurudi night kali, hizo data watazipata wapi?
Mimi najua hiyo siku kwa asilimia kubwa sitakuwa nyumbani na nitatoa maelekezo nisihesabiwe hata kama watakuwa na taarifa zangu.Kwangu Mimi hata ingekua mapumziko , nisingeacha kwenda mishe ,kujitafutia ugali wangu .
Naunga mkono hoja , taarifa zangu watazikuta nyumbani
Utaulizwa huko huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tutakaoamkia gesti ???
Afu nlishasahau kama niliandika huu utahira...ivi nililewa au 😝😝😝Utaulizwa huko huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😆😆😆Afu nlishasahau kama niliandika huu utahira...ivi nililewa au 😝😝😝
Hili zoezi kuna atakae achwa hata mmojaMtaani kwangu kuna nyumba zaidi ya 10 ninazozifaham wanaishi jamaa na marafiki zangu hizi nyumba kwanza mwenye nyumba haishi hapo anaishi mkoani kodi anatumiwa na wapangaji wake wote ni watumishi na hawana familia kwahyo asubuh wote wanatoka mpaka usiku ndo wanakuja au weekend ndo wanakuepo sasa nyumba kama hizo unapataje data na wakitoka wanafunga gate kabisa kwasababu hakuna mtu anaye baki nyumbani
👊👊👊
Unafikiri itakuwa rahisi kihivyo mkuu?Bandiken raarifa zenu kwenye milango yenu siku za kuamkia 23 kabla hujatoka.