Najua kuna mapungufu makubwa katika utawala wa awamu ya sita, wa mama Samia. Lakini lazima tuwe na pa kuanzia.
1. Angalau kuna uhuru, watu wanaweza wakalala majumbani mwao wakiwa na uhakika kutakucha salama?...
Yes and no.
Unaposema, Angalau na uhakika kutakucha salama ungesema angalau wamekula.
Unaposema, Kwa kiasi fulani haki za msingi..Blablabla. Ni bora ungezitaja. Mfugaji wa mwatuna mkwezi wa kengeja na mvuvi wa kilwa kivinje haki zao si sawa na kumtukana rais halafu ukimbilie belgium.
Unaposema ...Utawala wa sheria unakuja taratibu halafu unataja professor juma nashindwa kukuelewa. Professors do not grow on trees my fpfriend. Uchaguzi umepita majuzijuzi tu mkaanguka chini puu! Rais aliomba apelekewe gwajima walete maendeleo wapig kura wakampelekea gwajima, sasa tunasubiri maendeleo. Na kwa sugu hivo hivo, na hai, na kengeja, na tarime.
Watu wamewachoka ndiyo maana hakuna hatammoja alitelalamika kwa professor juma. Narudua, hata mmoja. You knew the law wouldn't help you break the law.
Unaposema bunge ni kituko mwulize tundulissu. Alikuta wabunge 113 na vitimaalum 60 waliletwa na Lowassa wa CCM. Katukana matusi weeeee kaambulia Mbunge mmoja, tena Mfipa siyo Mchagga. What happened exactly? Bado kuna nafasi 19, waliowahi wakawahi, wengi wao Wazaramo na Wasukuma na Washashi na Waha, siyo kama zamani. Hili nalo mnanuna mnataka bora tukose wote.
Mkitaka kutawala wacheni ubinafsi na ukabila. Unamsikia Mbowe anasema Geita ni mkoa mdogo kasahau kwao, analalamika Airport yeye kwao ziko 3. Anadai Chato wanajenga hospitali ya Rufaa kasahau kwao ziko 5. Watu si wajinga, wanawaona hamueleweki.
You are retired? Lea wajukuu zako, Tanzania hatuna pensheni ya wakulima, hiyo nayo ni haki YAO ya msingi huku wewe unaenda WB kutaka mabinti zao wasome darasani wakinyonyesha! Soma alama za nyakati dadangu.
ZFZMWCCM, la sivo nchi yetu itayumba.