Ikiwa Uhuru na Haki za Binadamu tayari vinazingatiwa kwa kiasi fulani, mengine tutarekebisha taratibu

Ikiwa Uhuru na Haki za Binadamu tayari vinazingatiwa kwa kiasi fulani, mengine tutarekebisha taratibu

Mkuu bado naona juhudi kubwa za kuminya HAKI ya Watanzania wengi. Kwa mfano mama alipofuta kesi 147 kwa kuwa zilikuwa ni za kubambikiwa alitakiwa pia afute hukumu zote za kesi za huyo Msowoya na hivyo kuwaachia huru wafungwa wote na kuwarudishia mabilioni yao waliyolipa kama faini.

Swala la COVID-19 mjengoni mama bado anademka wale hawastahili kuendelea kuwepo Bungeni huku wakipokea mabilioni kinyume na katiba ya nchi. Pia kauli yake kwamba tutasubiri sana kupata katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi.

Sijui “kusubiri sana” kunamaanisha nini. Tutasubiri kwa miezi sita, mwaka, miaka miwili etc. Vipi kuhusu kukutana na Viongozi wa Chadema? Mbona miezi mitatu inakatika bado yuko kimya?
Sijui kwanini hapa mama pamemshinda. Ni jambo liko wazi, tena wazi kabisa halina utata. Ndiyo maana nimesema bado bado kufika tunapopahitaji..
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Najua kuna mapungufu makubwa katika utawala wa awamu ya sita, wa Rais Samia. Lakini lazima tuwe na pa kuanzia.

1. Angalau kuna uhuru, watu wanaweza wakalala majumbani mwao wakiwa na uhakika kutakucha salama?

2. Kwa kiasi fulani haki za Binadamu zinazingatiwa ingawa bado kuna kazi kubwa ya kufanya, not to 100%

3. Utawala wa sheria unakuja taratibu, Mahakama zinaanza kutoa haki kadri ya sheria zetu, ingawa bado Ibrahim Juma ana kazi kubwa ya kufanya.

BADO: Bunge bado ni kituko!
Hapo mwishoni ulipomalizia mm nawazaga kama mungu angesaidia kitu kama kile cha September 11 kikatua kwa wale wahuni na wanaofuja fedha zetu chombo iwateketeze wooooooote asisalie ata mmoja ingekuwa poa sana.
 
ile siku aliyofuta zile kesi 147 za kubambikia ilikuwa wakati mzuri sana wa kukamilisha yote hayo. Sasa nina wasiwasi kama ataweza kuwatendea haki wahusika walio lupango na waliolipa faini ya mabilioni. Ngoja tusubiri Mkuu lakini kadri siku zinavyozidi kuyoyoma napata wasiwasi kama hao watatendewa haki.

Sijui kwanini hapa mama pamemshinda. Ni jambo liko wazi, tena wazi kabisa halina utata. Ndiyo maana nimesema bado bado kufika tunapopahitaji..
 
Yes and no.

Unaposema, Angalau na uhakika kutakucha salama ungesema angalau wamekula.

Unaposema, Kwa kiasi fulani haki za msingi..Blablabla. Ni bora ungezitaja. Mfugaji wa mwatuna mkwezi wa kengeja na mvuvi wa kilwa kivinje haki zao si sawa na kumtukana rais halafu ukimbilie belgium.

Unaposema ...Utawala wa sheria unakuja taratibu halafu unataja professor juma nashindwa kukuelewa. Professors do not grow on trees my fpfriend. Uchaguzi umepita majuzijuzi tu mkaanguka chini puu! Rais aliomba apelekewe gwajima walete maendeleo wapig kura wakampelekea gwajima, sasa tunasubiri maendeleo. Na kwa sugu hivo hivo, na hai, na kengeja, na tarime.

Watu wamewachoka ndiyo maana hakuna hatammoja alitelalamika kwa professor juma. Narudua, hata mmoja. You knew the law wouldn't help you break the law.

Unaposema bunge ni kituko mwulize tundulissu. Alikuta wabunge 113 na vitimaalum 60 waliletwa na Lowassa wa CCM. Katukana matusi weeeee kaambulia Mbunge mmoja, tena Mfipa siyo Mchagga. What happened exactly? Bado kuna nafasi 19, waliowahi wakawahi, wengi wao Wazaramo na Wasukuma na Washashi na Waha, siyo kama zamani. Hili nalo mnanuna mnataka bora tukose wote.

Mkitaka kutawala wacheni ubinafsi na ukabila. Unamsikia Mbowe anasema Geita ni mkoa mdogo kasahau kwao, analalamika Airport yeye kwao ziko 3. Anadai Chato wanajenga hospitali ya Rufaa kasahau kwao ziko 5. Watu si wajinga, wanawaona hamueleweki.

You are retired? Lea wajukuu zako, Tanzania hatuna pensheni ya wakulima, hiyo nayo ni haki YAO ya msingi huku wewe unaenda WB kutaka mabinti zao wasome darasani wakinyonyesha! Soma alama za nyakati dadangu.

ZFZMWCCM, la sivo nchi yetu itayumba.
Alitukanwa matusi gani!?
 
Superfluous information not discernible!
No no no no, it may be indiscenible kama hujui Kiingreza kakini for sure siyo superfluous. Mwenye njaa hachagui mtori na biriani. Msukuma asiyejua Kiswahili hahusiki na Biblua kuandikwa Kilatini au Kiswahili. Chief Justice kuitwa Professor Juma haiwezekani ikawa superfluous, labda kama hujui Kiingereza : professors don't grow on trees. Umeshoma?
 
No no no no, it may be indiscenible kama hujui Kiingreza kakini for sure siyo superfluous. Mwenye njaa hachagui mtori na biriani. Msukuma asiyejua Kiswahili hahusiki na Biblua kuandikwa Kilatini au Kiswahili. Chief Justice kuitwa Professor Juma haiwezekani ikawa superfluous, labda kama hujui Kiingereza : professors don't grow on trees. Umeshoma?
nimetoka kapa....
 
Mkuu bado naona juhudi kubwa za kuminya HAKI ya Watanzania wengi. Kwa mfano mama alipofuta kesi 147 kwa kuwa zilikuwa ni za kubambikiwa alitakiwa pia afute hukumu zote za kesi za huyo Msowoya na hivyo kuwaachia huru wafungwa wote na kuwarudishia mabilioni yao waliyolipa kama faini.

Swala la COVID-19 mjengoni mama bado anademka wale hawastahili kuendelea kuwepo Bungeni huku wakipokea mabilioni kinyume na katiba ya nchi. Pia kauli yake kwamba tutasubiri sana kupata katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi.

Sijui “kusubiri sana” kunamaanisha nini. Tutasubiri kwa miezi sita, mwaka, miaka miwili etc. Vipi kuhusu kukutana na Viongozi wa Chadema? Mbona miezi mitatu inakatika bado yuko kimya?
Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi mtasubiri kiama, hicho ni kitanzi kwa CCM. Ni kichaa pekee awezae kuweka kitanzi shingoni ajinyonge. Kukosekana kwavyo ndio leo CCM ipo madarakani Zanzibar na Tanzania.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Maccm hayana hati miliki ya Tanzania hivyo hili swala litaendelea kuwatesa sana. Mwisho wake ni kwamba ushiriki wa Watanzania kwenye uchaguzi utakuwa ni asilimia ndogo sana ya population au kutakuwepo na machafuko makubwa sana na nchi itaishia mikononi mwa JWTZ.

Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi mtasubiri kiama, hicho ni kitanzi kwa CCM. Ni kichaa pekee awezae kuweka kitanzi shingoni ajinyonge. Kukosekana kwavyo ndio leo CCM ipo madarakani Zanzibar na Tanzania.
 
Najiuliza kwa Sauti, tangu CHADEMA kimeanzishwa ni lipi la kitaifa (baya/zuri) viongozi wake wamefanya kuwekwa kwenye kumbukumbu (legacy)?
Kwenye majimbo waliyoongoza inaweza ikawa mfano.Hata hivyo umemaanisha kitaifa zaidi?
Unaweza kumuuliza mtu habari za mbinguni ikiwa hajawahi fika?
 
Back
Top Bottom