Emky
Senior Member
- Feb 2, 2018
- 144
- 161
Na Game halina poo!!Game liko taiti mno safari hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Game halina poo!!Game liko taiti mno safari hii
No wayNimeona viewers elfu 10, ukichanganya na wale 100(pengine hawakutimia) tunapata kura 10100
Kuna chama cha upinzani wanaamini wataingia ikulu kwa kura hizo
Hazina kubwa sana kwa CCMNgoyai, Kambarage na Jakaya ni Wanasiasa Maarufu wa muda wote hapa nchini
Sisi tutakuwa tunawapa shule hawa ndugu zetuNAKUUNGA MKONO HOJA YA KULLAMIKA NA KUORGANISE MAANDAMNO INGEFANYIKA ASUBUHI, WALIFELI SAN A JANA
Washazingua tayariNa Game halina poo!!
for real poor mate hadi unasikitika nawaona wanatazama ya CCMCompletely poor organized campaign plan
Huwa hawakubali makosa hawa jamaa.for real poor mate hadi unasikitika nawaona wanatazama ya CCM
Mkuu AGITATOR hapo umewapendelea sana hakuna cha ku ula kwa chuya yaaani watasikia harufu kwa jirani ,poor chademaKama walishindwa kuchukua nchi, kipindi kile cha kuzungusha mikono. Safari hii wataula wa chuya...
plust no entree!No way
Wamebakiwa na ule ubishi wa ndani ya nafsi.Assessment yangu ya haraka kwa mkutano wa Jana ni kuwa Chadema hawana fedha za kuendesha kampeni ya viwango.
Dunia nzima unahitaji fedha kufanya kampeni za viwango.
Kila kitu kilikuwa duni, na ndio hapo utaona namna fedha za Lowasa zilivyoipa nguvu Chadema kwa wakati ule.
Ndiyo maana wamebaki kimya kwenye mitandao.Wamebakiwa na ule ubishi wa ndani ya nafsi.
Naona maafisa vipenyo mnatengeneza mazingira (mind set) za kuiba kura ionekane si tulisema kumbe majizi ya kura ma vipenyo.Halafu waje waseme wameibiwa kura. Kwa kampein ile ya jana hata asilimia tano ya kura hawatapata.
Hata kura watapiga wakiwa mtandaoni. Acheni kauli za kujipoza maumivu.Acha kukariri,Sasa hivi watu wanafatilia michakato mtandanoni,ni ccm imebaki kusafirisha watu toka mbali kujaza uwanja.
Kama mnajiamini achilieni tume iwe huru muone.