Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Zipo nyakati ambazo mtoa Mamlaka hua amemuamlia mtu.
Zinapofika Nyakati hizo, hata ufanyeje, hata uwe na nani nyuma yako, Kamwe hatuwezi kuzuia Hilo.
Mungu anachukia DHURUMA, Mungu anachukia Uonevu, Mungu yupo tayari Kumtumia Shetani ili tu Jambo lake likamilike.
Na niseme wazi , Kama LISSU angekua mshindwa, Angekufa kufuatia Risasi 16 , huo ndio Ukweli , Mungu huwapendelea sana watu wanaotetea Haki, wanaochukia DHURUMA na Rushwa
Zinapofika Nyakati hizo, hata ufanyeje, hata uwe na nani nyuma yako, Kamwe hatuwezi kuzuia Hilo.
Mungu anachukia DHURUMA, Mungu anachukia Uonevu, Mungu yupo tayari Kumtumia Shetani ili tu Jambo lake likamilike.
Na niseme wazi , Kama LISSU angekua mshindwa, Angekufa kufuatia Risasi 16 , huo ndio Ukweli , Mungu huwapendelea sana watu wanaotetea Haki, wanaochukia DHURUMA na Rushwa