myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Sawasawa kabisa ...Inaonekana hata hujui chanzo cha tatizo lilikuwa ni wapi?!! Yaani mimi nimetumia cheti cha mtu cha elimu ya kidato cha nne, nikakitumia nikasomea kidato cha sita, nikafaulu, nikaingia chuo kikuu kusomea udaktari, nikapiga miaka yangu sita, nikafaulu vizuri, nikapiga masters yangu, nikapata kazi ya kutibu wagonjwa hapo utasemaje nimesababisha vifo kwa watu?
Inshu kubwa haikuwa vyeti vya taaluma bali ni cheti cha kidato cha nne na hizo pesa wanazolipwa sio za Serikali ni michango yao waliyochangia kwenye mifuko ya jamii.
Ufeki wao unakuja kwasababu zakutumia cheti kisicho halali lakini sio kwasababu hawana taaluma ya udaktari.Hao ni madaktari walioakiriwa kabisa kwakufanya usaili na kukidhi vigezo vyote ila tatizo mikwamba walitumia vyeti vya watu wengine.kwahiyo ufake wao ni tofauti na hicho unachokiongelea.Mf. Kama daktari feki, mpaka agundulike ameshauwa wangapi? Au dawa alizowapa wagonjwa wameathirika kiwango gani? Sasa umlipe badala ya kumchukulia hatua?
Mshahara unalipwa baada ya kutumika sio kwasababu umeajiriwa kihalali.Kesi ya kufoji ni jambo jingine ila kama ulimpa kazi na akaifanya kwa viwango unavyovitaka ni haki yake kulipwa.Hiyo michango ilipatikana katika makato ya mishahara ambayo hawakustahili! Ilipaswa wafunguliwe kesi warudishe hata mishahara waliyokuwa Wakilipwa
Hii sheria iko kwenye vitabu gani mkuu.Anzia hapa kwanza. Ni nani aliwaingiza kazini? Huyo ndiye mwenye hatia wala siyo walio foji vyeti.
La pili Kumbuka aliyeanzisha zoezi Mwendazake naye alikuwa na PhD feki iliyopelekea kuuawa kwa Ben Saanane ambaye alikuwa anahoji uhalali wake.
Tatu zoezi lilikuwa batili kwa vile lilichaguwa watu wa kuwatoa. Kwa mfano Daudi Bashite aliendelea kuwa RC Dar es Salaam kwa kutumia cheti cha Paul Makonda. Said Bagaile aliendelea kuwa Waziri wa Utalii kwa kutumia cheti cha Hamis Kigwanggalla, Lameck Madelu aliendelea kuwa Waziri wa Sheria kwa kutumia cheti cha Mwigulu Nchemba.
Hizi double standard za Magufuli ndizo Mungu hapendi, na ndiyo maana Magufuli amekufa licha ya kuiba kura zote za 2020 na kuweka wabunge wake.
Kinachokuteseni ni legacy ya mheshimiwa yule wala sio kingine.Usha sema Mtu alifogi vyeti,Sasa unamlipaje tena muhalifu huyo!!?
Hakuna sababu ya kuwatetea wenye vyeti feki hapoAnzia hapa kwanza. Ni nani aliwaingiza kazini? Huyo ndiye mwenye hatia wala siyo walio foji vyeti.
La pili Kumbuka aliyeanzisha zoezi Mwendazake naye alikuwa na PhD feki iliyopelekea kuuawa kwa Ben Saanane ambaye alikuwa anahoji uhalali wake.
Tatu zoezi lilikuwa batili kwa vile lilichaguwa watu wa kuwatoa. Kwa mfano Daudi Bashite aliendelea kuwa RC Dar es Salaam kwa kutumia cheti cha Paul Makonda. Said Bagaile aliendelea kuwa Waziri wa Utalii kwa kutumia cheti cha Hamis Kigwanggalla, Lameck Madelu aliendelea kuwa Waziri wa Sheria kwa kutumia cheti cha Mwigulu Nchemba.
Hizi double standard za Magufuli ndizo Mungu hapendi, na ndiyo maana Magufuli amekufa licha ya kuiba kura zote za 2020 na kuweka wabunge wake.
Sasa hiyo taaluma waliipataje bila cheti.Ufeki wao unakuja kwasababu zakutumia cheti kisicho halali lakini sio kwasababu hawana taaluma ya udaktari.Hao ni madaktari walioakiriwa kabisa kwakufanya usaili na kukidhi vigezo vyote ila tatizo mikwamba walitumia vyeti vya watu wengine.kwahiyo ufake wao ni tofauti na hicho unachokiongelea.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kimsingi hapakuwa na haja ya kujadili swala la vyeti feki eti kwamba walipwe ama wasilipwe,inatia kinyaa na aibusana.Nauliza tu. Hivi watu waliofoji vyeti au kughushi na kujipatia kipato kwa uongo wana kesibya kujibu?
Sheria zinasemaje?
Wenye vyeti feki walifeli form four , ila wakafoji vyeti wakasomea ualimu kufundisha watoto wetu, je hilo ni sahihi ?cheti kina badirishwa jina?!!ninachopingana nacho ni kuniambia eti kwa kutumia cheti cha kidato cha nne,cha mtu nikajiendeleza hadi nikawa DR.bingwa bado nitaonekana kuwa cwezi kuwa dr.mzuri,au kuwa injinia mzuri?!
Acheni unoko, nyie wapuuzi km Jiwe, jiwe alikuwa na PhD fake pia.Hakuna sababu ya kuwatetea wenye vyeti feki hapo
Wwe unahalalisha uovuu kwa uwovuu! Siyo vizuri,kila muhalifu ataguswa kwa wakati wake,usilazimishe ili wwe uhukumiwa fulani nae akamatwe! Tunasema za mwizi ni 40, na 40 zako wwe ndiyo zimetimia,ni Kama siku zako za kufa zimefika,usilazimishe eti ni lazima na wagonjwa wote hosipitalini nao wafe Kama wwe!!!!Umeua kabisa broo, jioni tukutane Kirima bar and Night Club. Karibu Kuna bia na kuku wa kienyeji.
Mbona kama unachepuka bro!? Baki njia kuu! Je kugushi hata risit tu ni kosa la Jinai au siyo kosa la Jinai!? Tuanzie hapo kwanza!!!!Ufeki wao unakuja kwasababu zakutumia cheti kisicho halali lakini sio kwasababu hawana taaluma ya udaktari.Hao ni madaktari walioakiriwa kabisa kwakufanya usaili na kukidhi vigezo vyote ila tatizo mikwamba walitumia vyeti vya watu wengine.kwahiyo ufake wao ni tofauti na hicho unachokiongelea.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Tumuulize DPP ambae ndiyo Mkuu wa Makosa ya Jinai atuambie, maana yeye ndiyo ana vyombo vya uchunguzi kuthibitisha kosa la Jinai!!!Nauliza tu. Hivi watu waliofoji vyeti au kughushi na kujipatia kipato kwa uongo wana kesibya kujibu?
Sheria zinasemaje?
Maada ni kugushi,naomba tubaki hapo hapo! Wwe hili swala la kugushi unalizungumziaje!? Unakubali kua kweli wamegushi au unakaataa hawajagushi!!??Kinachokuteseni ni legacy ya mheshimiwa yule wala sio kingine.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ungeanza kuishtaki serikali kwa sababu ya Daud Albert Bashite.Langu ni hilo!
Vyeti feki, ni wahujumu nchi kama ilivyo Kwa mafisadi na wezi wengine!
Wameisababishia Serikali hasara kubwa, Kwa elimu yao ndogo, wamesababisha vifo vya wananchi Kwa kutoa huduma chini ya kiwango.
Endapo Serikali itawalipa hao vyeti feki, nimekusudia kuipeleka mahamani Serikali.
Itajulikana ikiwa Serikalini kuna wanufaika wa malipo haya chini ya mwamvuli wa wafoji vyeti.
Wwe lazima utakua na cheti fake nimekukamata live!![emoji38][emoji3][emoji1787][emoji1787]Acheni unoko, nyie wapuuzi km Jiwe, jiwe alikuwa na PhD fake pia.
Katika sakata la vyeti feki ,wenye shida ni serikali ,kwamba unakaa na mtu na umemuajiri , wengine umewasomesha mwenyewe na baada ya miaka kibao unasema wanavyeti feki tena vya form 4 , Kama kweli utaenda fungua kesi na wewe utakua na matatizo, acheni wapate stahiki zao ,alikurupuka Sana mwenda zakeLangu ni hilo!
Vyeti feki, ni wahujumu nchi kama ilivyo Kwa mafisadi na wezi wengine!
Wameisababishia Serikali hasara kubwa, Kwa elimu yao ndogo, wamesababisha vifo vya wananchi Kwa kutoa huduma chini ya kiwango.
Endapo Serikali itawalipa hao vyeti feki, nimekusudia kuipeleka mahamani Serikali.
Itajulikana ikiwa Serikalini kuna wanufaika wa malipo haya chini ya mwamvuli wa wafoji vyeti.