Iko hivi, Simba Day uwanja hautajaa

Azam na wao kuanzia tarehe 1 mwezi Agosti wana jambo lao kwenye vifurushi vyao. Maana yake tutarajie mabadiliko ya bei ya viingilio mpaka kwenye vibanda umiza. Hakuna kwenye unafuu
Kwa hiyo ni ukisimama nchale na ukikimbia nchale[emoji3]
 
Ila nikushauri.

1. Pendelea kuwa positive usiwe na negativity

2. Toa ushauri ambao unaweza kuwa rafiki kwa Simba kuweza kufanikisha Azma ya kujaza uwanja.

WITCH CRAFT EXIST INTO DIFFERENT FORMS.

HUU NDIO UCHAWIIIIIII WENYEWE SASA..........
Mi naleta facts,we unaleta ngonjela
 
Mhh
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…