Iko wapi Royal Tour mliopiga chapuo kuwa italeta manufaa kwa Watanzania? Mbona tozo na ughali wa maisha unazidi kuwabana Watanzania

Iko wapi Royal Tour mliopiga chapuo kuwa italeta manufaa kwa Watanzania? Mbona tozo na ughali wa maisha unazidi kuwabana Watanzania

Matokeo ya kutawala nchi kwa ze comedy
The comedy zinazoleta faida kama hivi ndio tunazitaka sasa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220917-083022.png
    Screenshot_20220917-083022.png
    141.8 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220917-083035.png
    Screenshot_20220917-083035.png
    158.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220917-083042.png
    Screenshot_20220917-083042.png
    135.7 KB · Views: 3
Mlisema royal tour itatunyanyua kiuchumi na kuleta watalii lukuki na hivyo pato la taifa kunyanyuka.

Sasa kama royal tour ilikuwa muarobaini wa kulipatia taifa letu mapato sasa hizi tozo kandamizi za nini?

Mlipigia debe sana Royal tour kwa ushabiki wa kisiasa .Leo hii mnalia na kusaga meno.
Wewe ni chawa wa awamu ya tano uliye kosa ulaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mlisema royal tour itatunyanyua kiuchumi na kuleta watalii lukuki na hivyo pato la taifa kunyanyuka.

Sasa kama royal tour ilikuwa muarobaini wa kulipatia taifa letu mapato sasa hizi tozo kandamizi za nini?

Mlipigia debe sana Royal tour kwa ushabiki wa kisiasa .Leo hii mnalia na kusaga meno.
Royal tour tulipigwa,hakika kina Rostom and his allies walitenga billion 7 kisha kumchota mama Samia na kumpekeka Marekani kumsainisha mikataba ya kifedhuli kwelikweli,aibu
 
Wewe Kijana naona umeanza kuniparura na mimi nilisema ukinikuna,nakupapasa.Na kwa taarifa yako naandaa Royal Tour Part 2,waambie na wenzio wenye akili za kawaida mjipange!!
 
Kwani wewe hujashuhudia mafuriko ya watalii wakimiminika hapa nchini? Hujaona kuwa Jambo Hilo limechangiwa na royal Tour? Huoni kuwa vijana wamenufaika na ongezeko Hilo la watalii
Ni vyema ukaleta data mzee baba.. sema kabla ya royal tour idadi ya watalii wanaoingia nchini ilikua ngapi na baada ya royal tour imekua ngapi
 
Mlisema Royal Tour itatunyanyua kiuchumi na kuleta watalii lukuki na hivyo pato la taifa kunyanyuka.

Sasa kama Royal Tour ilikuwa muarobaini wa kulipatia taifa letu mapato sasa hizi tozo kandamizi za nini?

Mlipigia debe sana Royal tour kwa ushabiki wa kisiasa .Leo hii mnalia na kusaga meno.
Ss tulisema mambo ya Royal tour na filamu yake ni aina nyingine ya upumbavu ambao wasio na Akili waliunga mkono sana na kusahau mambo ya msingi kabisa ktk taifa yanayoweza kuwaletea watu maendeleo,kwa kweli inasikitisha sana.
 
Mlisema Royal Tour itatunyanyua kiuchumi na kuleta watalii lukuki na hivyo pato la taifa kunyanyuka.

Sasa kama Royal Tour ilikuwa muarobaini wa kulipatia taifa letu mapato sasa hizi tozo kandamizi za nini?

Mlipigia debe sana Royal tour kwa ushabiki wa kisiasa .Leo hii mnalia na kusaga meno.
Mama aliingizwa mjini na wahuni wa kimataifa. Wanamjua kifikra kwa hiyo tonny blair akamuwahi tukapigwa zile dollar milioni 100 eti kuisafisha tanzania na sifa mbaya ya magufuli na kuitangaza nchi. Upuuzi mtupu. Nchi ilikua na sifa nzuri duniani kama nchi yenye kiongozi mwanamapinduzi na mwenye kuingoza kwenye mafanikio ya kiuchumi.
And then akaja mhuni mwingine mwenye biashara yake ya royal tour. Naye kamuwahi mama na idea ya royal tour. Fedha nyingi tumetumia wala tusidandanyane wala impact hakuna. Kuongezeka watalii ni kutokana vizuizi vya covid kumalizika. Watalii wengi waliahirisha safari zao. Tanzania tayari ilishakua mashuhuri kwa utalii kwa kazi nzuri ya shirika la taifa la utalii. Balozi zetu awamu ya tano zilifanya kazi kubwa. Channel ya tbc ya tanzania safari aliyoanzisha magufuli hutoamini ina impact kubwa sana.
Kwa hivyo royal tour tulipigwa tu wala mama asianguke mtego tena eti kuendeleza.
 
Back
Top Bottom