Anthony horowitz
JF-Expert Member
- May 4, 2024
- 421
- 1,042
Kwanini una penda ubishiIlifeli, na kwa mfanyabiashara kama DP biashara moja kufeli ni kitu cha kawaida sana.
Next question…
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini una penda ubishiIlifeli, na kwa mfanyabiashara kama DP biashara moja kufeli ni kitu cha kawaida sana.
Next question…
Kwanini wani ita boss??, nakuchokoza - ulivyo sema next questionBoss! mbona sijabishana?
😂
Naelewa mkuu!Kwanini wani ita boss??, nakuchokoza - ulivyo sema next question
Hapa Ume kubali kwa moyo wote, au una bishana kwa alama ya mshangaoNaelewa mkuu!
Nimegive up! 😂Hapa Ume kubali kwa moyo wote, au una bishana kwa alama ya mshangao
Kwema lakini rafiki?Nimegive up! 😂
Kwema rafiki za wikiend...Kwema lakini rafiki?
3. Utayali wa wabongo. Hivi nani ataenda kweli kulipia kupakua nyimbo ambayo anajua akiiiskiza siku tatu nne inakosa kama utamu, nyimbo zao hazina maisha marefu.
Aisee kumbe wengine mna weekend!!, mi niko poa nashukuru uzima upo.Kwema rafiki za wikiend...
Aanze kukemea wenzake mtaani waache kutupa taka ovyo na kumwaga maji machafu njiani / barabarani kama anaishi Dar aona kama ni rahisi🤣🤣Wewe ungekuwa msanii show moja tu ya CCM unalipwa 100M ungekuwa unaipinga CCM?
Huna wikiendi umezipeleka wapi?Aisee kumbe wengine mna weekend!!, mi niko poa nashukuru uzima upo.
Mtu akishakua na jina watu wanataka awe Perfect , utasema yeye sio binadamu ! Wanaulizaga na Diamond Karanga zilienda wapi 🤣Ilifeli, na kwa mfanyabiashara kama DP biashara moja kufeli ni kitu cha kawaida sana.
Next question…
I see them as normal days, niki amka taste ya j3 na j2 ni zile zile tu.Huna wikiendi umezipeleka wapi?
Utawaweza waTz? Suala likija la Diamond tu lazima kelele nyingi. Kawaida tu hata akina MO sio biashara zao zote zilizoanzishwa zimestawi.Mtu akishakua na jina watu wanataka awe Perfect , utasema yeye sio binadamu ! Wanaulizaga na Diamond Karanga zilienda wapi 🤣
Wakati humu kila siku watu wanalia biashara ngumu ! Mara kwa mtaji wa sh kadhaa naweza kufanya nini ?Utawaweza waTz? Suala likija la Diamond tu lazima kelele nyingi. Kawaida tu hata akina MO sio biashara zao zote zilizoanzishwa zimestawi.
Ohhh! Huchoki?I see them as normal days, niki amka taste ya j3 na j2 ni zile zile tu.
Sometimes my mind is exhausted, ila I enjoy it.Ohhh! Huchoki?
Oh wow, good to know. Uwe na muda mwema rafiki yangu.Sometimes my mind is exhausted, ila I enjoy it.
ndo maana I like cycle ya watu wanao nipa furaha.