Ikulu Chamwino: Baada ya kurejea nchini, Rais Samia aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri

No barakoa as usual hapa ndio nakosana nao kabisa hawa jamaa, mama akiwa Kenya ali observe protocol zote za Halima Mdee 19 (corona) karudi home hataki tena kuvaa matangawizi na masufuria ya kujifukiza , aiseee tuna shida gani bandugu bapenzi
 
Mama Mungu akutunze na kukulinda, mipepo michafu iliyoachwa na mwendazake imewavagaa watu. Wameanza kukuchukia bika sababu, hate Safari yako Kenya imewaudhi sana
Ni akina Nani wanaomchukia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…