BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,606
- 5,922
Madrasa ni neno la kiarabu,likiwa maana ya darasani,weka hoja yako vizuri,elimu zote zinatolewa madrasa,Ndio usomeshe mwanao awe waziri mliwapeleka madrasa saa hizi mnatamani uwaziri, kwanza Waziri akiwa mkiristo unakosa nini?
Kawazidi mbali sana hao wengineKwani wenye uwezo ni yeye peke yake?!!
Sasa graduate kamaliza shule jana...anataka ATEULIWE?!!🤣🤣Mimi graduate tu ndio nasubiria hio ajira
Mkuu kwani ni lini timu hizo ziliacha kuegemea upande wa CCM?!!
Ama wanauingiza UCCM ndani ya pitch ya KUCHEZEA?!!
Elimu!Katika wizara 23 waislam ni watatu tu na hakuna mzanzibar hata mmoja hii kiboko, akina yakje mko wapi? Mohamed Said na JokaKuu
Kipi?!!Kawazidi mbali sana hao wengine
Mimi nasema baraza la mawaziri 23 waislamu 3 na Wasukuma 5 haijawahi kutokeaUsisahau kuwa Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu ni sehemu ya Baraza la Mawaziri. Lakini dini siyo mojawapo ya vigezo, na si sahihi kuchunguzana kwa dini, kabila, eneo nk. Pia tusisahau kuwa wanaweza kukidhi 100, 200 je tuwe na baraza kubwa kama hilo?! Hapana.
Motivational speaker wametuamuru tu dream big kaka 🤣Sasa graduate kamaliza shule jana...anataka ATEULIWE?!!🤣🤣
Tena nafasi NYETI.....looh
Subiri ajira za UALIMU...ukafanye kazi ujijenge kiuchumi...halafu utagombea ubunge mdogo wangu aaamin!!
Kwa hio wewe unaamini Tanzania nzima waislamu waliosoma madrassa pekee isipokua hao watatu tuNdio usomeshe mwanao awe waziri mliwapeleka madrasa saa hizi mnatamani uwaziri, kwanza Waziri akiwa mkiristo unakosa nini?
Ilikuwa ni lazima wateuliwe?duu...isack kamwelwe, japhet hassunga,, kigwangala mbona watalia sana..halafu Zungu nae ndo hata hajaufaidi vizuri uwaziri.
Mzee kwa nature ya kabila lake hu undermine wanawake hata the way anavo mu address mkewe utajua yeye anaamini wanaume kuliko wanawake. Jakaya alitoa Sana nafasi wanawakeKatika baraza hili lenye mawaziri 23 kwa haraka haraka
-Wanawake 4 (wanaume 19)
-?Waislamu 2 (?Wakristo 21)
-Mchaga 1 (Wasukuma 5+)
-Mzanzibar 0 (watanganyika 23)
Waislam wengi hawajaenda shule. Huo ndio ukweli japo mchungu.Kwa hio wewe unaamini Tanzania nzima waislamu waliosoma madrassa pekee isipokua hao watatu tu
Kama unaamini hivyo Safi sana
Urais wa kishamba labda hana sifa ya uongoziHalafu bado atakuwa na courage ya kugombea Urais 2025.
Angalia wizara na.2 na 18 naona kama zinafanana
Wapo wengi wakristo na pia wapo wengi waislamu sasa kwa nini unasema waislamu wote wamesoma madrasa tu isipokua hao 3 tuTanzania nzima kuna watu 20 tu ( wakristo) wanao kidhi vigezo vya uwaziri?
Mtoto wa mtoto wa mkulima mambo safii! Ridhimoko anakwama wapi?NAIBU WAZIRI
Biashara - Silaoneka
Ardhi - Anjelina
Mabula
Kazi - Patrobas Katambi
Mambo ya ndani - Hamza
Fedha - Mwanaidi
Sayansi - Kipanga
TAMISEMI- Festo john
Nishati - Biabati
Utumishi- Ndejembi
Mawasiliano- Engineer Kundo
Mifugo na Uvuvi- Philipo
Madini - Ndulanye
Ujenzi - kasekenya
Ulemavu - Ummy
Nderiananga
Maji - Prisca Mahundi
Sanaa - Abdalah Ulega
Mazingira - Mwita witara
EAC - William Openshaw
Utalii- Marry Masanja
Tamisemi - Ernest
Kilimo - H Bashe
Afya - Dr Godwin Mollel
Katiba na sheria -Geofrey Mizengo Pinda
Alaa kumbeElimu!