Ikulu, Chamwino: Rais Magufuli ateua Baraza la Mawaziri lenye Wizara 23. Aunda Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Vipenyo Kama kawaida wamekula MASHAVU.

-Silinde
-Gaucho Minjino.
 
kwa nini tunaingiza udini? sioni kosa lolote hapo maana watanzania wote tunataka maendeleo tu sio dini za watu, maaana hata akiwa mkiristo kinacho takiwa ni awe mwadilifu kwa watu wote,
Kwa wewe hakuna shida lakini kiuhalisia haya ni mambo ya kibaguzi
Baraza hili ni la muungano hakuna mzanzibari hata mmoja
Magufuli tangu ameingia madarakani target yake ni kuondoa waislamu na wachaga serikalini na kwa kiasi kikubwa amefanikiwa
 
Acheni wanga kwenye kazi za wengine, mtu unamwanzia nani atumbuliwe dah, tutafute pesa tuache mawazo ya kimaskini
 
Pascal Mayalla
Leslie Mbena

kazi na siasa
 
Hii ina shape picha ya Raisi ajaye kama mheshimiwa atapumzika. Kama watafuata mazoea ya kubalishana kidini basi Jaffo au KM, otherwise namuona Dotto Biteko Raisi ajaye.
 
Du yule mzee mstaafu wa CRDB hayumo? nilitegemea baada ya Plan kurudishiwa wizara yake ya njuruku mzee wa watu angekuwemo kwenye baraza .
 
Mwita Waitara
Patrobas Katambi
David Silinde
Prof.Mkumbo
Shonza
Geguka


Next Dada angu Halima mdee namuona ndani ya Baraza.

Ester bulaya
Nusrat wanje Hawa Ukuu wa mkoa na wilaya nao unawanyemelea.



JPM anaendelea kudhihirisha Ni mtu mwenye maono haswaa kwa kuwapa nafasi vijana wote Tz pasipo na chuki ya upinzani wao wa mwanzo.

Tz I aendelea kujengwa kutokea Kila pembe ya nchi hii.
 
We uko bize unapongeza tu una matatizo gani? Au ni upungufu wa akili
 
Du yule mzee mstaafu wa CRDB hayumo? nilitegemea baada ya Plan kurudishiwa wizara yake ya njuruku mzee wa watu angekuwemo kwenye baraza .
Hiyo wizara huwa ina manaibu waziri wawili, kwaio tuendelee kutega sikio.
 
Kati ya mawaziri 23 waislamu wawili tu duh
Waislam inabidi mpige shule sio kukimbilia madrasa tu someni elimu zote mbili
 
Haya sasa tukalijenge Taifa Letu pendwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…