Ikulu, Chamwino: Rais Magufuli ateua Baraza la Mawaziri lenye Wizara 23. Aunda Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Kigwa chonde chonde usije kuua MTOTO wako TENA!!
 
Bila Shaka Yoyote Utakuwa Umemeza Bomu

Umemeza Bomu
Unachochea
Nimewapa ushauri wasome ili waweze kuwa na wasomi wengi siku nyingine nao watakuwa kama wakristo na kama hawataki ushauri wangu shauri yao
 
Polepole au Nape akiuliza Swali la nyongeza akina Katambi,Silinde,Waitara ,Gekul,Mollel ndio watakuwa wanajibu.Maisha yanaenda kasi
Chadema inajua kuwapika vijana mpaka wanawaweka benchi akina Nape, Makamba hatari sana
 
 
Huyu mtu ni mbaguzi sana
Baraza la mawaziri wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania hakuna mzanzibari hata mmoja
Basi liwe baraza la watanganyika,,,
Yaani waislamu 3 wakristo 20
Kweli muhutu haachi ubaguzi
Kwani wewe unautaka muungano? Si Lisu wenu alisema chadema hamna masilahi yeyote zanzibar?
 
Kwani wewe unautaka muungano? Si Lisu wenu alisema chadema hamna masilahi yeyote zanzibar?
Lissu alisema muungano wa dizaini hii unamatatizo lakini kafiri akasema muungano upo sawa Leo kawasaliti wazanzibari ama kweli kafiri ni najisi
 
Kimei waziri wa pesaaaaa

Mwana Fa naibu sanaa(basata watamkomaje)

Utabiri tu
Na Plan atakuwa waziri wa nini wakati tayari alishateuliwa mwanzoni kabisa,mzee wa kilalacha Imei hana chake,alijazwa kichwa akadhani atapewa uwaziri labda asuburu second selection ya kidato cha sita hah hah
 
Bila Shaka Yoyote Utakuwa Umemeza Bomu

Umemeza Bomu
Unachochea
Huyu mtu ana nia ya kuchochea vurugu, mungu amlani, kwenye youtube pia kuna mtu ameandika exactly kama ilivyo andikwa hapa kwahiyo atakua mtu huyohuyo anajaribu kuchochoea moto huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…