Unasema hivi sababu kundi lako wako wengi. Wangekua wao ndo wako watatu ungesema kuna udini.Haya Mambo ya udini na ukabila ni nonsense, serikali hii siyo ya dini fulani au kabila fulani, Rais anapofanya uteuzi kigezo kikubwa anachoongalia ni uwezo wa mtu katika utendaji kazi. Mawaziri wengi kuwa wakristu ni coincidence tu..
nauliza hivi ikiwa dini moja inamawaziri wengi kuna manufaa gani huwa wanapata dini husika? na pia dini isiyo na mawaziri wengi inapata madhara gani?Unasema hivi sababu kundi lako wako wengi. Wangekua wao ndo wako watatu ungesema kuna udini.
Binafsi nashangaa mtu anasema nani ataanza kutumbuliwa wewe inakusaidia niniAcheni wanga kwenye kazi za wengine, mtu unamwanzia nani atumbuliwe dah, tutafute pesa tuache mawazo ya kimaskini
Huyo wa 1% ni nani kati ya mawaziri 14 wa znz?Limefuata uwiano wa idadi ya wananchi wa Zanzibar ambao 99% ni waislamu.
Kupunguza Jobless kwenye dini husika.nauliza hivi ikiwa dini moja inamawaziri wengi kuna manufaa gani huwa wanapata dini husika? na pia dini isiyo na mawaziri wengi inapata madhara gani?
Hiyo asilimia 3 umeipataje mkuu? Yaani mawaziri 3 Kati ya 23 ndo asilimia 3?Kuchaguliwa 3% ya waislamu kwenye baraza la mawaziri haikuwa confidence.
Naimani we ndo bashite mwenyeweHuyu jamaa yaani hayupo hewani sasa hivi ila unamuota bado akikusugua nyuma.
Unamjua vizuri huyu Dorothy Gwajima au unaropoka tu, eti mtu na mkewe, kama hujui kitu uliza usilete habari za uongo mtandaoniHuyu msukuma anatuharibia nchi aisee yaan mtu na mkewe unawateua maana ubunge wa Gwajiboy tunajua kabebwa tu Leo Tena mke wake uwaziri daaah
Dogo apa umeshusha facts kinoma...at mi padri nimekuelewa......kwamba rais angekua muislam na Baraza la mawaziri lingekua na waislamu wengi basi hakika wakristo tungelalamikaHii dhana kwamba Waislamu hawakwenda shuke imetumiwa tangu kupata Uhuru kuwaengua Waislamu. Kuna bwana mmoja alitoa orodha ya Waislamu 300 wenye PHD za fani mbali mbali, karibuni zote, hata Marine sciences (PHD). Hiyo ni Zaidi ya miaka 10 iliyopita! Mtu akitaka kutukana hachagui tusi wala hajali facts. Ukweli ni kwamba, kama angekuwa rais ni Mwislamu na akafanya uteuzi kama huu, Wakristo wote mngeruka na kupaaza sauti kuwa ni 'mdini'. Tumeyaona hayo wakati wa Mwinyi na wakati wa Kikwete ambaye aliponzwa kuteuwa 30% tu ya Waislamu katika baraza lake, lo! Kauli mbiyu ya "Mdini' ilizagaa kote Tanzania! Nani asiyejua sakata la kuzongwa kwa Dr. Dau?, Kighoma Malima, Iddi Simba etc. kwa tuhuma za 'udini'? Hao wala hawakuwa viongozi wa juu!!!
Ili mradi, kila anayezungumzia ubaguzi dhidi ya Waislamu ni 'mdini'. Wanaoishiria hapa kukosekana kwa Waislamu si wadini, ni watu wanaosema ukweli tu. Na muda wa kuwa hatuambiani ukweli nchi hii itaangamia. Rais Magufuli mwenyewe kila mara anasema "Msema kweli ni mpenzi wa Mungu" Sasa asikie ukweli huu, kwamba hakufanya uadilifu katika Baraza hili na lile lililopia kwa kuwatenga 'makusudi' Waislamu. Lau wangefanyiwa Wakristo, wao pia wangesema hivyo, wazi wazi.
Why Christians in Tanzania are taking Muslims for granted? Having a proportionate representation of ethnic, religious and gender group in a cabinet make-up in Africa is not just a luxury....it saves a very important role of ensuring equitable service delivery to all citizens. In Africa where people's loyalty is mainly to their tribes, religions, and other attachments rather than 'a state' , a wide spread disenfranchisement of a particular category of people has severe consequences on that group's equal enjoyment of government services. If President Magufuli is not aware of this fact, I just wonder what type of a leader is he. No. I believe this flagrant bias is a conscious and deliberate act.
The more we could speak about this openly, the better will be the future of a united Tanzania. This CAN NOT GO ON- business as usual!
Busara na ushauri mzuri kwa faida ya wote ni muhimu na kuna watu wanatakiwa kumshauri
Masisiemu Sasa ndio yamejua kiasi ambacho magufuli hawaamini.Kwa jinsi Mkulu asivyowapenda kundi "Lile" hoja ya kubadilishana au kupokezana isahau kabisa
Hii paragraph ya mwisho ndo tatizo!Dogo apa umeshusha facts kinoma...at mi padri nimekuelewa......kwamba rais angekua muislam na Baraza la mawaziri lingekua na waislamu wengi basi hakika wakristo tungelalamika
ILA
Ndugu zetu nyie waislamu mkiingia serikalini munawaza mahakama ya Kadhi na kutaka ku impose sheria zenu na tamaduni zenu zitumike nchi nzima.....
Well said. Dr Ashatu Hajasoma na wenzake wengi wapo. Kila kitu kina mwanzo na mwisho. Lakn simlaumu Rais kwakuwa hata hao waislam wakichaguliwa hawana Tija yoyote kwenye Dini.Wewe jiongelee peke yako lakini watanzania wanaojali uwiano kwenye baraza la mawaziri wako wengi. Lazima ikumbukwe uwazirini kazi muhimu serikalini na inatoa nafasi kwa mtu kulitumikia taifa lake kwenye ngazi ya juu na kujipatia uzoefu mkubwa serikalini. Marais wote Tanzania pia hupitia cheo cha uwaziri kabla ya kuwa rais.
Tatizo ni kwamba hakuwezi kuwa na tabaka la wakristo kwenye nafasi za uongozi serikalini kwa kisingizio eti watanzania hawajali kuwa waziri ni dini gani. Kiufupi waislamu wanajali. Sishangazwi na wakristo wengi wakijifanya kutoa visingizio eti hakuna tatizo kwasababu hizi fursa zimekwenda upande wao. Hizi bullshit stories kwamba waislamu hawajasoma hutumiwa sana kama kisingizio cha kuhalalisha hujuma.
Nilihesabu mpaka na manaibu waziri, mawaziri na manaibu jumla ni 46. Na hata kwa hesabu nilizopiga waislam ilitakiwa wawe 2.3%.Hiyo asilimia 3 umeipataje mkuu? Yaani mawaziri 3 Kati ya 23 ndo asilimia 3?