Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungesikiliza ule mdahalo uliokuwa TBC leo sidhani kama ungepata nguvu ya kusema "raisi ajaye"....badala yake ungesema tufunge kwa maombi.Najua kati ya hao mawaziri, mmoja atakuwa rais ajaye! Je, ni nani kati ya hao?
Hili jibu lingetoka kwa mlengwa ingependeza zaidi sio kwa kapuku kama wewe,, samahani sina muda wa kujibizana na wanuka mkojoMkuu anzisha kiwanda chako ulipe mil 30 kwa mwezi hakuna atakayekuuliza
😔😔😔Kigwa chonde chonde usije kuua MTOTO wako TENA!!
Wewe jiongelee peke yako lakini watanzania wanaojali uwiano kwenye baraza la mawaziri wako wengi. Lazima ikumbukwe uwazirini kazi muhimu serikalini na inatoa nafasi kwa mtu kulitumikia taifa lake kwenye ngazi ya juu na kujipatia uzoefu mkubwa serikalini. Marais wote Tanzania pia hupitia cheo cha uwaziri kabla ya kuwa rais.watanzania tunahitaji maendeleo haijalishi nani, dini sio kigezo au sifa ya kuteua mtu, sisi watanzania tunataka mtu yeyote mchapa kazi, mweledi na mwadilifu ktk kuwatendea haki watanzania, kama alivyo Mhe. Rais mwenyewe ni mtenda haki bila ubaguzi, anawaletea maendeleo watanzania wote bila ubaguzi hiyo ndio dhamira ya kiongozi mkuu naamini pia ndio dhamira ya wateule wake.
Ni suala la muda tuuWaislamu Ndio wengi nchi hii lakini wasomi wengi ni wakristo
Hata hivyo huwezi kusema Bara na visiwani kuna waislamu 3 tu Ndio wamesoma
Magufuli tangu aingie madarakani amejitahidi kuondoa jamii ya waislamu. Wachagga na wapare serikalini
Haya sasa wapare waziri 0 wachagga 1 Wasukuma 5
This is not coming by chance is well planned na utaona baadae hao watatu waislamu watapigwa chini
Lugha kama hii inaonesha jinsi gani uko insecured. Wapumbavu tu ndiyo wana resort kwenye matusi ili kujipa tumaini la muda. So kwa kunitukana unadhani ndiyo nimekuwa kapuku?Hili jibu lingetoka kwa mlengwa ingependeza zaidi sio kwa kapuku kama wewe,, samahani sina muda wa kujibizana na wanuka mkojo
Huyu mtu ni mbaguzi sana
Baraza la mawaziri wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania hakuna mzanzibari hata mmoja
Basi liwe baraza la watanganyika,,,
Yaani waislamu 3 wakristo 20
Kweli muhutu haachi ubaguzi
Kausha ile ni siriSimbachawene. Msiniulize kwa nini!
Kwa nini iko hivyo ndugu?Hakuna mchaga wala mpare atakayetoboa kwenye serikali hii ya Magufuli.
Labda Angela Kairuki.
HaiwezekaniMara paaa Peter Msingwa ubunge wa kuchaguliwa na Rais
Hakuna hata mmojaBaadhi ya COVID19 kuna tetesi watakuwemo kwenye Baraza haramu la Mawaziri. Tusubiri.
[emoji23][emoji23]Hakuna mchaga wala mpare atakayetoboa kwenye serikali hii ya Magufuli.
Labda Angela Kairuki.
Profesa Mkenda, waziri wa kilimo ni Mchaga wa Rombo.Hakuna mchaga wala mpare atakayetoboa kwenye serikali hii ya Magufuli.
Labda Angela Kairuki.
Labda kuna system ambayo mkuchika anaicontrol ndiyo roho ya nchiToka Mwl Nyerere aliaza kuwa DC mpaka Leo daaaa inatafakarisha sana
Mkuu hebu picture this:Nimekuuliza nyie wachaga mna uspesho gani katika nchi hii?
Unafikiri bado tuko 1960 hii?