secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Bashiru alikuwa royal kwa JPM na alipelekwa ikulu kimkakati....Ila hata mie Bashiru sikufurahia kuwa pale yeye aende tuu kwenye siasa.
Tatizo mnataka kujua yasiyo wahusu, mwacheni raisi afanye kazi yakeMimi.mwenyewe sijui why
Katibu mkuu kiongozi ni shidaaaMshahara wa katibu mkuu na Mbuge upi mkubwa?
Inaweza kuwa kala shavu,jamaa katoka jalalani juzi tu
Afanye ila sisi wananchi ndio waathirika wa utendaji mbovu wa hao wateule ndio maana tunataka kujua kila kituTatizo mnataka kujua yasiyo wahusu, mwacheni raisi afanye kazi yake
Rais ni mtendaji wetu na sisi ndio waajiri wake, makosa yoyote waathirika wakubwa ni sisi na vizazi vyetuTatizo mnataka kujua yasiyo wahusu, mwacheni raisi afanye kazi yake
Amesha waambia, hii awamu mpya.. anaenda nao hivi hapo baadae pumba zitajitengaIla Mwigulu awe makini kwahuyu mama hana mzaha kabisa akicheza hatamaliza hata mwaka.
Huenda ni mtego.. Ukitaka kumkamata wizi acha mlango wazi halafu lala kama Sungura Pori [emoji2957]Ila Mwigulu awe makini kwahuyu mama hana mzaha kabisa akicheza hatamaliza hata mwaka.
Hivi kwa nini makamo wa kwanza wa Zanzibar hakuhudhuria?Mubashara Rais Samia akimwapisha makamu wa Rais Dkt. Mpango leo Ikulu Chamwino
Update:
Anasubiriwa mhe. Samia Suluhu Hassan kuingia na kiapo kuanza.
View attachment 1739575
Saa15:11- Mhe. Dkt. Mpango akiapa.
Saa 15:13 akienda kukalia kiti cha makamu wa Rais.
Salamu kubwa za Rais ni mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kama ifuatavyo:
Sulemani Jafo ameteuliwa kuwa Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, na Naibu Waziri atakuwa Hamad Hassan Chande
-
Ofisi ya Waziri Mkuu - Uwekezaji, Waziri atakuwa Geofrey Mwambe na Naibu wake ni William Tate Olenasho
-
Palamagamba Kabudi atakuwa Waziri wa Sheria na Katiba na Naibu Waziri atakuwa Geofrey Mizengo Pinda.
-
Wizara ya Biashara na Viwanda, Waziri atakuwa Alexander Mkumbo. Innocent Bashungwa ameteuliwa kuwa Waziri wa Michezo
Mwimbo mzuri kabisa, ila kama unamwimbia binadamu shindwa haraka sana.Usinipite Mwokozi, unisikie, unapo zuru wengine, usinipite.