johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Biswalo amewahi kutiwa hatiani na chombo chochote?Huyu mama hana lolote, mtakuja kuona huko mbele. sawa hatakuwa katili kama Jiwe, lkn for the welfare of the naton hana lolote, Biswalo Mganga atamdefine hyu mama ni nani. Hizi ndizo serious issies zinazom define mtu......... Ni sawa na Nyerere, mtu "mwema" asingeliacha katiba ambayo anajua na aliikemea kuwa kichaa anaweza akaitumia akawa Dictator!