johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Biswalo amewahi kutiwa hatiani na chombo chochote?Huyu mama hana lolote, mtakuja kuona huko mbele. sawa hatakuwa katili kama Jiwe, lkn for the welfare of the naton hana lolote, Biswalo Mganga atamdefine hyu mama ni nani. Hizi ndizo serious issies zinazom define mtu......... Ni sawa na Nyerere, mtu "mwema" asingeliacha katiba ambayo anajua na aliikemea kuwa kichaa anaweza akaitumia akawa Dictator!
Kamanda mbona husomeki?Teteeni Wala Rushwa
Zipi?Acha hasira.
Watanzania waamue mara ngapi?Kwa mtazamo wangu sio vita ila ccm ndio wanifanya vita sisi CHADEMA na wao CCM sote tunataka ridhaa ya Watanzania Serikali ingeweka Uwanja sawa wa siasa halafu Watanzania waamue nani wanamtaka wala sio rocket science
Mkuu Kwan una ubavu wa kutafuta Raisi wako mwingine tofauti na huyu!!Samia hatufai watanzania.
😭Kwa mtazamo wangu sio vita ila ccm ndio wanifanya vita sisi CHADEMA na wao CCM sote tunataka ridhaa ya Watanzania Serikali ingeweka Uwanja sawa wa siasa halafu Watanzania waamue nani wanamtaka wala sio rocket science
Naona wote wameva barakoa, kumbe wamegundua kama korona ipo Jpm alikua anasema uongoTega sikio, ametoka kupokea ripoti ya Corona muda mfupi uliopita!
Huoni?Zipi?
ana tuhuma nzito and we start with tuhuma... from there we go to court...Biswalo amewahi kutiwa hatiani na chombo chochote?
Ulitegemea Chadema waende ikulu wakazuie wao wameshauri tu.
Sifurahii mtu kuonewa. Ila mtu umeonewa bora ufungwe Mungu ajue umeonewa. Kwani Dpp alikuwa analazimisha kukubali makosa?Mnajua mnaandika kama vile wote waliomizwa na DPP aliyepita ni Chadema! Watanzania wengi sana wameumizwa na mamlaka iliyopita! Wanapotokea watu wanaopiga kelele ni kwa maslahi ya watanzania wote!
Wewe unayeshabikia ujue pia ipo siku utalia au ndugu yako au yeyote katika jamaa zako ataumizwa! Usiufurahie ubaya maana KARMA is Real! Itakupata tu siku!
Ukipewa mamlaka tenda haki! Ni kama mafuta kichwani mwako na kizazi chako! Laana za watu haziwezi kukuacha salama! Kama siyo wewe utashuhudia uzao wako ukiteseka! Ni hayo tu!!
Walidhani mama anasikiliza kila porojo.Kwahiyo amewapuuza
Watanzania wa Tume ya Uchaguzi wa Ccm?Watanzania waamue mara ngapi?
Mimi siyo Ufipa, ila naipenda Ufipa kwa strugle zao za haki, ila penye kasoro tunakemea. Mama ni CCM, mimi CCM siipendi lkn kuna mambo Mama ameyafany yanatia matumaini kutoka "utumwa" wa Mwendazake, tunampongeza...Ufipa acheni nongwa!
Anatufaa sana,ila haiwezekani akafanya kila kitu tunachotaka sisi,akifanya kwa 90% yale tunayotaka tumshukuru Mungu.Samia hatufai watanzania.
Walimshauri tu, MATAGA level 1Hakuna vita Boss, wala mimi sio mataga. Ila walimlazimisha mama asimuapishe.
Tuhuma zinabaki kuwa tuhuma tu!ana tuhuma nzito and we start with tuhuma... from there we go to court...
Sawa na Sabaya, hajawahi tiwa hatiani, lkn tuhuma zake , akili ya kawaida inasema apishe uchunguzi!
Tanzania ni yetu sote sisi kama CHADEMA tunayo haki ya Kikatiba ya kufanya Siasa bila buguza au mnapenda