can't agree more...Kampeni za uchaguzi zishaanza.
Wanaoondolewa wafunguliwe mashtaka pia, sio kuondolewa kazini tu.
Vinginevyo, wengine wataona unaweza kusaini mikataba mibovu, halafu ukapeta, ukishtukiwa unaondolewa kazini tu unaenda kula hela ulizokwiba.
Kweli uchawi upoKapona aisee
Hata Gadner G Habashi anaitwaga Captain,inawezekana akakumbukwa kwny teuzi hizi.Si anautwa Captain? Atakuwa ana taaluma ya ujeshi. Kwa Magu ukiwa mjeshi unamkosha zaidi kuliko msomi wa darasani.
Na yeye Magu akishawahi kumchoma pale CCP kwny mafahari alimwambia 'Wewe Masauni najua ulikua unataka kuwachomeka watu wako ndani ya polisi bila kupitia JKT nimesema marufuku kuingiza watu wako'.Huyo ndiyo anawaunguza wenzake.
Dodoma maji ya chumvi 😊😊 na watu wa Dodoma tulivyo wajinga utatuwezaHivi Mh. Rais aliposema amehamia Ikulu ya Dodoma alikuwa anamaanisha Ikulu ya Dodoma iliyoko Magogoni Dar es Salaam au?
Alimtajataja kumbe alikuwa ashamuandaaHata hivyo kwa hulka ya Magu kamchelewesha sana Zungu. Nadhani kwenye ile kamati ya kuchunguza Tanzanite alikuwa kabaki peke yake. Wengine nadhani walishaula na sasa wanasaza tu.
Matangazo ya moja kwa moja kutoka Ikulu Jijini Dar es Salaam yatawajia muda mfupi ujao kupitia vyombo vya habari vya Redio, Televisheni na Mitandao ya Kijamii. Aidha, waweza kutazama kupitia Youtube ya IkuluMawasiliano.
======
UPDATES:
Rais amemteua Mussa Zungu kuwa Waziri wa Muungano na Mazingira na kumuhamisha George Simbachawene kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani.
View attachment 1332064
Azzan Mussa Zungu
View attachment 1332078
George Simbachawene