Ikulu Dar: Rais Magufuli amemteua George Simbachawene kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Mussa Zungu apewa Wizara ya Mazingira

Ikulu Dar: Rais Magufuli amemteua George Simbachawene kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Mussa Zungu apewa Wizara ya Mazingira

Kampeni za uchaguzi zishaanza.

Wanaoondolewa wafunguliwe mashtaka pia, sio kuondolewa kazini tu.

Vinginevyo, wengine wataona unaweza kusaini mikataba mibovu, halafu ukapeta, ukishtukiwa unaondolewa kazini tu unaenda kula hela ulizokwiba.
can't agree more...
 
Si anautwa Captain? Atakuwa ana taaluma ya ujeshi. Kwa Magu ukiwa mjeshi unamkosha zaidi kuliko msomi wa darasani.
Hata Gadner G Habashi anaitwaga Captain,inawezekana akakumbukwa kwny teuzi hizi.

dodge
 
Finally Bwana Zungu Ateuliwa Kuwa Waziri Leo hii

Rais Magufuli amemteua Mussa Azzan Zungu kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira akichukua nafasi ya Simbachawene.
millardayo-20200123-0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simbachawene ni jembe sema Magufuli hajui tu kazi kumsumbua sumbua tu kiholela holela.
Huyu jamaa akikaa kwa kutulia wizara hii wafungwa wataanza kulala juu ya vitanda na unaa wa wajelajela utapungua
 
Hata hivyo kwa hulka ya Magu kamchelewesha sana Zungu. Nadhani kwenye ile kamati ya kuchunguza Tanzanite alikuwa kabaki peke yake. Wengine nadhani walishaula na sasa wanasaza tu.
 
Hata hivyo kwa hulka ya Magu kamchelewesha sana Zungu. Nadhani kwenye ile kamati ya kuchunguza Tanzanite alikuwa kabaki peke yake. Wengine nadhani walishaula na sasa wanasaza tu.
Alimtajataja kumbe alikuwa ashamuandaa
 
Zungu alipaswa apewe Mambo ya Ndani
Matangazo ya moja kwa moja kutoka Ikulu Jijini Dar es Salaam yatawajia muda mfupi ujao kupitia vyombo vya habari vya Redio, Televisheni na Mitandao ya Kijamii. Aidha, waweza kutazama kupitia Youtube ya IkuluMawasiliano.

======

UPDATES:

Rais amemteua Mussa Zungu kuwa Waziri wa Muungano na Mazingira na kumuhamisha George Simbachawene kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani.
View attachment 1332064
Azzan Mussa Zungu
View attachment 1332078
George Simbachawene

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii Panga Pangua Hata sio Nzuri
Simba chawene Hata Mwaka Hana Wizara ya Mazingira kapelekwa kwingine
 
Back
Top Bottom