Maswali.mengine bhana, mpaka mtu unajiuliza haivi anaeuliza swali anakuwa amelewa au. Sasa ndio ulikuwa unataka dar asije kabisa wala asilale hata siku moja ikulu ya dar. Dah tuna safari ndefu sanaHivi Mh. Rais aliposema amehamia Ikulu ya Dodoma alikuwa anamaanisha Ikulu ya Dodoma iliyoko Magogoni Dar es Salaam au?
Hata Kangi alimsifia sana, nakukumbusha tu. Kama suala ni kusifia...Hakika ukimsifia Jiwe hukosi chochote , baada ya Zungu kumsifia Rais pale Ukonga leo hatimaye naye aula .....
Vijana wa Lumumba msikate tamaa bado mna nafasi
Sent from my SM-J700H using Tapatalk
Hongera zakeAma kweli kufa kufaana, Zungu aukwaa uwaziri ulio achwa na Simba chawene aliye kula shavu la Lugola.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote hao ni CCM mkuu.Halafu Zungu si alikuwa team Lowassa wa kufa kabisa!
na simbachawene ameenda wapi? malizia tafadhaliFinally Bwana Zungu Ateuliwa Kuwa Waziri Leo hii
Rais Magufuli amemteua Mussa Azzan Zungu kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira akichukua nafasi ya Simbachawene.View attachment 1332056
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu Zungu si alikuwa team Lowassa wa kufa kabisa!
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Rugora... Rugora... Rugora.. And azaz..[emoji144][emoji144][emoji144]
Jr[emoji769]
Ni nzuri. Inasaidia watu wasibweteke na kudhani cheo ni ulaji. Maslahi ya nchi kwanza.Teua, tengua, ishakuwa ilani ya jiwe
Sent using Jamii Forum's by simcard
mkuu naona unataka kutia mchanga kitumbua cha mzee wa watu....Halafu Zungu si alikuwa team Lowassa wa kufa kabisa!
Magu toka atangaze kuhamia dodoma amelala siku ngapi???Maswali.mengine bhana, mpaka mtu unajiuliza haivi anaeuliza swali anakuwa amelewa au. Sasa ndio ulikuwa unataka dar asije kabisa wala asilale hata siku moja ikulu ya dar. Dah tuna safari ndefu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Muda mwingi yupo Dar kuliko Dodoma ndo maana jamaa anaulizaMaswali.mengine bhana, mpaka mtu unajiuliza haivi anaeuliza swali anakuwa amelewa au. Sasa ndio ulikuwa unataka dar asije kabisa wala asilale hata siku moja ikulu ya dar. Dah tuna safari ndefu sana
Sent using Jamii Forums mobile app