Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau wa JF
Nawasalimi kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani leo Mei 31, 2021 amekutana kwa mazungumzo na Viongozi wa Taasisi ya Sekta binafsi Nchini ( TPSF)
Mkutano huo uliofanyika Ikulu ya Magogoni Jijini Dar es salaam ulijadili njia za kukuza biashara, kuongeza uwekezaji pamoja na kupanua wigo wa kodi nchini
Viongozi wa TPSF wakiongozwa na Mwenyekiti wao Bi Angelina Ngalula wamepongeza sana Mama Samia kwa kuimarisha mahusiano baina ya Serikali na Sekta binafsi nchini.
Nawasalimi kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani leo Mei 31, 2021 amekutana kwa mazungumzo na Viongozi wa Taasisi ya Sekta binafsi Nchini ( TPSF)
Mkutano huo uliofanyika Ikulu ya Magogoni Jijini Dar es salaam ulijadili njia za kukuza biashara, kuongeza uwekezaji pamoja na kupanua wigo wa kodi nchini
Viongozi wa TPSF wakiongozwa na Mwenyekiti wao Bi Angelina Ngalula wamepongeza sana Mama Samia kwa kuimarisha mahusiano baina ya Serikali na Sekta binafsi nchini.



