Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Hata uhuru lilikuwa jambo la Watanganyika wote lakini kulikwepo na viongozi km Nyerere, Kawawa, nk. Kama haujui hata dhana rahisi kama hii, sina hata haja ya kukujibu.
Kama unadhani swala la katiba mpya ni jambo binafsi la Mbowe na Chadema na kuonea huruma.
Katiba mpya ni utetezi wa wananchi na kutopatikana Kwake ni hasara kwa mwananchi