barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Aliyekua anatoa amri, mlimuombea kifo, tutulie kidogoMadam rais, hii tone yake itamponzwa....anamuomba cag aongeze wigo?? Toa amri madam!
pia mambo ya kuanza kupongeza saa hizi sio mahala pake...unampongeza kufanya kazi yake?
Mkurugenzi bandari amewekwa pembeni kupisha uchunguzi kwa upooooole😀Mama anaongea kwa upole hadi raha..🤗
[emoji23][emoji23]Meko kapigwa chini pale bandarini
Hahaha hata mimi nimecheka... Watanzania sijui wanataka niniAliyekua anatoa amri, mlimuombea kifo, tutulie kidogo