OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
umejuajeImebadilishwa vitu vingi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umejuajeImebadilishwa vitu vingi sana.
Nilishawahi kwenda ofisi za airtTanzania dar es salaam saa mbili kasoro nikakuta wamefunga tayariATCL wajitadhimini.naona dalili za kufa kwa hili shirika.mwenye shirika ndo hayupo tena,sidhani Kama hili shirika litachukua hata 3yrs,katika miradi ambayo jpm aliifufua,ATCL itakuwa ndo 1st ku collapse.
MEKO alikuwa anasema kwamba Shirika linatengeneza faida ,nakumbuka alisema live kabisa,na katika kipindi chake ATCL haikuwepo kwenye ripoti ya CAG iliondolewa baada ya ile ya Prof Assad kutoa hasara ya bilioni 200.kwakweli ni yaleyale waliyokuwa wanalalama watu, ivi iyo report angekuwa anaipokea hayati iyo hasara kwenye shirika la ATCL, CAG angeitaji kweli
Hahaha mkuu, kama tuliambizana hivi...Nishakula supu heavy weight ya utumbo sasa nipo mbele ya runinga yangu nashia k vant kubwa na sprite huku namgoja mama kwa hamu ,. R.i.p.Magufuli
Teh teh teh... hii Mambo ipo kitambo...Duh! Unaskia TAKUKURU huko?? Wanafunzi UDSM na UDOM wanahonga malecturer ngono.
Aiseeee
Yes alimuweka as skeleton tu hawakujua mipango ya MunguKila lenye kheri mama Samia,mimi nasubiri kufahamu jina la makamu wako,hapo nitaanza kuona kidogo wewe unataka kutawala au kuongoza?Maana Magufuli alikuchagua wewe mwanamke alijua anakutawala ndo maana mwanzoni ulikiri kuwa aliwanyoosha.
Jamaa anaanza kuwekwa uchi mapemaaa!.[emoji848][emoji848][emoji848]60B ndani ya mwaka.
That's a huge loss as a country.
ATCL lazima kufanyike jambo
Wachawi kama kawaida.ATCL wajitadhimini.naona dalili za kufa kwa hili shirika.mwenye shirika ndo hayupo tena,sidhani Kama hili shirika litachukua hata 3yrs,katika miradi ambayo jpm aliifufua,ATCL itakuwa ndo 1st ku collapse.
Meko alikuwa muongo pamoja na serikali yake yote, sikuwahi kuiamini hata siku mojaMEKO alikuwa anasema kwamba Shirika linatengeneza faida ,nakumbuka alisema live kabisa,na katika kipindi chake ATCL haikuwepo kwenye ripoti ya CAG iliondolewa baada ya ile ya Prof Assad kutoa hasara ya bilioni 200.
Ila kasema imekuwa ikiendwshwa kwa hasara miaka mitano nyuma-Ni kampuni ipi ya usafirishaji duniani imepata faida kipindi hiki cha corona??
-usitegemee pia unaanza tu uwekezaji mkubwa alafu unapata faida wakati tayari kuna washindani wako ambao walishajiimarisha....
Ni common sense tu wala haihitaji uwe umesomea uchumi...hata mmachinga anaielewa hii logic..
Kaaa kimya kama hauna la maana-Ni kampuni ipi ya usafirishaji duniani imepata faida kipindi hiki cha corona??
-usitegemee pia unaanza tu uwekezaji mkubwa alafu unapata faida wakati tayari kuna washindani wako ambao walishajiimarisha....
Ni common sense tu wala haihitaji uwe umesomea uchumi...hata mmachinga anaielewa hii logic..
Naomba kujua kisasi cha faida tulichopata kama faida kupitia ATCL.Ni Ikulu jijini Dodoma.
Wageni wahusika tayari wako ukumbini wakisubiri maelekezo kwa mujibu wa ratiba.
Tukio litarushwa mubashara na local channels zote.
Updates;
kwa sababu walikuwa wanafanya kazi kitaalamu siyo kisiasaKwa nini Precision airways ilikuwa inaweza kujiendesha kwa faida lakini ili la serikali pamoja na kupata support kubwa ya serikali bado linalamba hasara?
DuhJamaa anaanza kuwekwa uchi mapemaaa!.[emoji848][emoji848][emoji848]
Yap, ningependa jua 2015/2016 hasara ilikua kiasi gani pia...maana yawezekana uwiano wa hasara ukawa unapungua...Ila kasema imekuwa ikiendwshwa kwa hasara miaka mitano nyuma