G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Halafu na hapo umeua mashirika binafsi.hiyo 60b ni mwaka mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu na hapo umeua mashirika binafsi.hiyo 60b ni mwaka mmoja
Imebadilishwa vitu vingi sana.Nataka kuamini kwamba ingetajwa.
Labda CAG alikuwa ameshaiandaa kabla hata ya msiba so, ingesemwa!
Achana na mabeberu!Kwenye king'amuzi cha dstv channel gani watarusha hili tukio?
isije ikawa nguvu ya soda mkuu. JPM haya mambo yalikuwa kwenye damuWembe ni ule ule siku ya mapumziko ndio kazi zinafanyika sasa wale waliolegeza miili kwa kujua nafuu holaa sindano pale pale!
Kwani si wana edit tu? Angekuwepo mwenyewe hili lisingesemwa[emoji41]Nataka kuamini kwamba ingetajwa.
Labda CAG alikuwa ameshaiandaa kabla hata ya msiba so, ingesemwa!
Kipindi Cha MEKO alituambia kwamba wanatengeneza FAIDA na akamuuliza sijui mkurugenzi naye akasema tuna mabilioni tumeyaingiza kwenye biashara ya ndege yaani Uongo uongo uongo.60B ndani ya mwaka.
That's a huge loss as a country.
ATCL lazima kufanyike jambo
Let's wait and see. May be Madam president will do somethingHalina maana kabisa
Jiwe yule hana wa mfano,hiiiiiiiiiii .Sidhani kama tutakaa tumpate Rais kama Jiwe. Daaah hivi ni kweli tunaongelea historia yake au naota?
Ni kweli kuwa 2025 imewadia kabla ya muda wake?? Bado siamini ujue!
Duh! Kwahiyo tunamuogopa mtu???Imebadilishwa vitu vingi sana.
Wembe ni ule ule siku ya mapumziko ndio kazi zinafanyika sasa wale waliolegeza miili kwa kujua nafuu holaa sindano pale pale!
Mimi mtu wa EPL bhanaAchana na mabeberu!
-Ni kampuni ipi ya usafirishaji duniani imepata faida kipindi hiki cha corona??hiyo 60b ni mwaka mmoja
Ni wapi wamesema ni bilioni 90?!ni 90b usichakachue
Duh! Unaskia TAKUKURU huko?? Wanafunzi UDSM na UDOM wanahonga malecturer ngono.Kwani si wana edit tu? Angekuwepo mwenyewe hili lisingesemwa[emoji41]
Aiseeeee hatari sana hii kwa kweli.Kipindi Cha MEKO alituambia kwamba wanatengeneza FAIDA na akamuuliza sijui mkurugenzi naye akasema tuna mabilioni tumeyaingiza kwenye biashara ya ndege yaani Uongo uongo uongo.