Ikulu iliyo ndani ya Ikulu ina mfalme aliye juu ya mfalme wetu

Ikulu iliyo ndani ya Ikulu ina mfalme aliye juu ya mfalme wetu

Mwalimu Makungu, elimu, ufahamu wako wa historia na mambo mengine umeyahifadhi vizuri kwa ajili ya matumizi yenye manufaa wakati unaofaa. Leo umeonesha hifadhi yako. Tunakushukuru sana kwa kutufunulia hekima iliyopo kwa kutumia historia na hali halisi inayotawala dunia kwa sasa. Shukran sana.
Ahsante Sana ndugu yangu Peter . Ni muhimu tukumbushane maarifa haya ili kuokoa vizazi vyetu vinavyokuja.
 
Mwalimu Makungu, elimu, ufahamu wako wa historia na mambo mengine umeyahifadhi vizuri kwa ajili ya matumizi yenye manufaa wakati unaofaa. Leo umeonesha hifadhi yako. Tunakushukuru sana kwa kutufunulia hekima iliyopo kwa kutumia historia na hali halisi inayotawala dunia kwa sasa. Shukran sana.
Ubarikiwe Sana
 
Tanzania yenyewe imelaaniwa pekee
Tanzania haijalaaniwa ila Watanzania wanaingia kwenye siasa kwa kuwa "madaraka ya kisiasa (political power)" huwafanya wajione wanajua kila kitu hata kama walikuwa masikini wa hali (akili) na mali (utajiri). Madaraka hayo yanawapa hali (akili) bandia na utajiri usio wa jasho leo. Km Wabunge hutetea maslahi yao, kwa nguvu, kuliko kero za maendeleo ya waliowapa kura.
 
Tanzania haijalaaniwa ila Watanzania wanaingia kwenye siasa kwa kuwa "madaraka ya kisiasa (political power)" huwafanya wajione wanajua kila kitu hata kama walikuwa masikini wa hali (akili) na mali (utajiri). Madaraka hayo yanawapa hali (akili) bandia na utajiri usio wa jasho leo. Km Wabunge hutetea maslahi yao, kwa nguvu, kuliko kero za maendeleo ya waliowapa kura.
Kabisa
 
Tanzania haijalaaniwa ila Watanzania wanaingia kwenye siasa kwa kuwa "madaraka ya kisiasa (political power)" huwafanya wajione wanajua kila kitu hata kama walikuwa masikini wa hali (akili) na mali (utajiri). Madaraka hayo yanawapa hali (akili) bandia na utajiri usio wa jasho leo. Km Wabunge hutetea maslahi yao, kwa nguvu, kuliko kero za maendeleo ya waliowapa kura.
Hatari sana mzee
 
Back
Top Bottom