Sweya Makungu
JF-Expert Member
- Jun 11, 2023
- 508
- 601
- Thread starter
-
- #41
Ahsante Sana ndugu yangu Peter . Ni muhimu tukumbushane maarifa haya ili kuokoa vizazi vyetu vinavyokuja.Mwalimu Makungu, elimu, ufahamu wako wa historia na mambo mengine umeyahifadhi vizuri kwa ajili ya matumizi yenye manufaa wakati unaofaa. Leo umeonesha hifadhi yako. Tunakushukuru sana kwa kutufunulia hekima iliyopo kwa kutumia historia na hali halisi inayotawala dunia kwa sasa. Shukran sana.
Ubarikiwe SanaMwalimu Makungu, elimu, ufahamu wako wa historia na mambo mengine umeyahifadhi vizuri kwa ajili ya matumizi yenye manufaa wakati unaofaa. Leo umeonesha hifadhi yako. Tunakushukuru sana kwa kutufunulia hekima iliyopo kwa kutumia historia na hali halisi inayotawala dunia kwa sasa. Shukran sana.
Tanzania haijalaaniwa ila Watanzania wanaingia kwenye siasa kwa kuwa "madaraka ya kisiasa (political power)" huwafanya wajione wanajua kila kitu hata kama walikuwa masikini wa hali (akili) na mali (utajiri). Madaraka hayo yanawapa hali (akili) bandia na utajiri usio wa jasho leo. Km Wabunge hutetea maslahi yao, kwa nguvu, kuliko kero za maendeleo ya waliowapa kura.Tanzania yenyewe imelaaniwa pekee
KabisaTanzania haijalaaniwa ila Watanzania wanaingia kwenye siasa kwa kuwa "madaraka ya kisiasa (political power)" huwafanya wajione wanajua kila kitu hata kama walikuwa masikini wa hali (akili) na mali (utajiri). Madaraka hayo yanawapa hali (akili) bandia na utajiri usio wa jasho leo. Km Wabunge hutetea maslahi yao, kwa nguvu, kuliko kero za maendeleo ya waliowapa kura.
Hatari sana mzeeTanzania haijalaaniwa ila Watanzania wanaingia kwenye siasa kwa kuwa "madaraka ya kisiasa (political power)" huwafanya wajione wanajua kila kitu hata kama walikuwa masikini wa hali (akili) na mali (utajiri). Madaraka hayo yanawapa hali (akili) bandia na utajiri usio wa jasho leo. Km Wabunge hutetea maslahi yao, kwa nguvu, kuliko kero za maendeleo ya waliowapa kura.
japo aliongea maneno makali mbele ya weusi , bt ndo ukweli huo !![emoji375]View attachment 2670297
Hatari Sana mzeejapo aliongea maneno makali mbele ya weusi , bt ndo ukweli huo !!