chanjo ya ESTA ndo naitaka inapatikana wapiNa wewe iga Mkuu , maana hata hiyo statement "Unaiga kuandika yanayozunguka mitandaoni!" na yenyewe umeiga hakuna kitu kipya ambacho kizazi cha leo kitazungumza ambacho hakijawai kuandikwa.
Gwajima aka Mkono wa Baunsa ni TAPELI ,Chanjo zilizokuwa approved na WHO ndio zinatumika kwahiyo kuna option JJ ,Pfizer ,Astazenica etc kwahiyo kama Majaliwa kachanjwa JJ na mimi pfizer ni kweli tofauti.
LABDA watu wa idara ya afya watatupa ufafanuzi.Au sisi wengine ni washamba jamani?
View attachment 1871735
View attachment 1871734
---
View attachment 1871367
Rais wa USA, Joe Biden akichomwa chanjo
===
Wizara ya Afya watoa ufafanuzi kuhusu hoja hii, soma hapa chini:
-#COVID19 - Ufafanuzi: Muuguzi aliyemchoma chanjo Mhe. Rais Samia na viongozi wengine kutovaa mipira ya mikono (gloves)
Kwa mujibu wa taarifa hapo juu, Gloves sio lazima kuvaliwa wakati wa kuchoma chanjo ya Covid-19. Hivyo tunapenda kuwatoa hofu wananchi kuwa Mhudumu aliyewachoma chanjo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine alikua anatekelza majukumu yake kwa kufuata taratibu zote ikiwemo...www.jamiiforums.com
Yaani umetoa majibu kama Mzee MpiliMimi ni muhudumu wa Afya, nafanya kazi RCH. Ni kawaida tu na ninatoa sana chanjo bila globes wala si ajabu, kwaiyo ni swala la kawaida usijari
Masuala ya Personal Protective Equipments na Infection Prevention ni muhimu sana kwa watoa huduma za afya pamoja na wateja wanowahudumia.Kama Wizara husika ndiyo inayotengeneza miongozo na kujikanganya hivi Wananchi wafanyeje?Au sisi wengine ni washamba jamani?
View attachment 1871735
View attachment 1871734
---
View attachment 1871367
Rais wa USA, Joe Biden akichomwa chanjo
===
Wizara ya Afya watoa ufafanuzi kuhusu hoja hii, soma hapa chini:
-#COVID19 - Ufafanuzi: Muuguzi aliyemchoma chanjo Mhe. Rais Samia na viongozi wengine kutovaa mipira ya mikono (gloves)
Kwa mujibu wa taarifa hapo juu, Gloves sio lazima kuvaliwa wakati wa kuchoma chanjo ya Covid-19. Hivyo tunapenda kuwatoa hofu wananchi kuwa Mhudumu aliyewachoma chanjo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine alikua anatekelza majukumu yake kwa kufuata taratibu zote ikiwemo...www.jamiiforums.com
Kuaminiana kupo ila siyo kwa issue ya UVIKO-19,ni hatari.Tunaaminiana
Jitahidi kuangalia spelling za unachoandika. JF inaruhusu editing ya text.Na wewe iga Mkuu , maana hata hiyo statement "Unaiga kuandika yanayozunguka mitandaoni!" na yenyewe umeiga hakuna kitu kipya ambacho kizazi cha leo kitazungumza ambacho hakijawai kuandikwa.
Gwajima aka Mkono wa Baunsa ni TAPELI ,Chanjo zilizokuwa approved na WHO ndio zinatumika kwahiyo kuna option JJ ,Pfizer ,Astazenica etc kwahiyo kama Majaliwa kachanjwa JJ na mimi pfizer ni kweli tofauti.
Elimu ya hapa na pale wako IkuluVYETI FEKI WALIO SALIA NDIYO MAANA WANAMCHUKIA MAGUFULI
Pale medical attendant anavyojichoresha incompetency yale mbele ya ma-great thinkers, kama unaandika globes badala ya gloves ...sishangai kutozingatia IPC SOP na kujitapa kabisa, ila yawezekana hata haujui IPC SOP.Mimi ni muhudumu wa Afya, nafanya kazi RCH. Ni kawaida tu na ninatoa sana chanjo bila globes wala si ajabu, kwaiyo ni swala la kawaida usijari
Halafu anachoma sindano bila kuvuta bomba, ye anapeleka tu.Au sisi wengine ni washamba jamani?
View attachment 1871735
View attachment 1871734
---
View attachment 1871367
Rais wa USA, Joe Biden akichomwa chanjo
===
Wizara ya Afya watoa ufafanuzi kuhusu hoja hii, soma hapa chini:
-#COVID19 - Ufafanuzi: Muuguzi aliyemchoma chanjo Mhe. Rais Samia na viongozi wengine kutovaa mipira ya mikono (gloves)
Kwa mujibu wa taarifa hapo juu, Gloves sio lazima kuvaliwa wakati wa kuchoma chanjo ya Covid-19. Hivyo tunapenda kuwatoa hofu wananchi kuwa Mhudumu aliyewachoma chanjo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine alikua anatekelza majukumu yake kwa kufuata taratibu zote ikiwemo...www.jamiiforums.com
Jitahidi kuangalia spelling za unachoandika. JF inaruhusu editing ya text.
Wewe ulisema ni kawaida, ila hii taarifa haiongelei ukawaida au mazoea. Kama ulimaanisha ulicholeta, siku nyingine uandike vizuri kwa kuzingatia maana halisi ya maneno.View attachment 1872655
DA HUSTLA
ujumbe ndio huo nafikiri sasa utajipima mjinga ni nani kati ya wewe na mimi,
jibu liko wazi mjing ni wewe vaccine ni kawaida sana kutolewa bila PPE over
Wew mtafutie adaMsaidie kumtafutia chuo arudi shule
SawaWew mtafutie ada
Hawa watu usanii ni jadi yao. Wewe na Mimi akili kichwani.Mtu mmoja kachanja watu wanne Rais, Waziri Mkuu, Jaji Mkuu na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam alafu hajavaa gloves!
Wewe muhudumu wa afya utakuwa mjinga, hujui madhara yake! Umeishia darasa la 7 eeeh? Huwa wanatumia "Globes?"Mimi ni muhudumu wa Afya, nafanya kazi RCH. Ni kawaida tu na ninatoa sana chanjo bila globes wala si ajabu, kwaiyo ni swala la kawaida usijari