Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,436
- 7,955
Kwani mataga wenyewe. Wanasemaje?Kwa kweli ni Jambo la Aibu kusahau mambo muhim hivi! ina maana Dangote kicheo ni mkubwa kuliko mama yetu?
Hizi aibu zisijirudie! hata mpiga picha hajui protokali?
daah noma kweliView attachment 1796531
Labda ni protocol ya kujali jinsia. Nisemeje sasaKwa kweli ni Jambo la Aibu kusahau mambo muhim hivi! ina maana Dangote kicheo ni mkubwa kuliko mama yetu?
Hizi aibu zisijirudie! hata mpiga picha hajui protokali?
daah noma kweliView attachment 1796531
Urais sio mchezoSSH anaonekana mwenye mawazo sana, ashaanza kuuza nchi ovyo ovyo na kuwapa ulaji wana mtandao, hiyo huzuni ni ya nini ?
Samia ndiye yupo upande wa kushoto hapoMbona title na picha ni tofauti mkuu au kushoto unamaanisha upende upi?
Kuna maana ya kuwa na protocol, huyo mama yenu analojua ni lipi sasa kama ya maana hajui hata haya madogo pia yanamshinda?Mambo mengine mkuu tumerithi Kwa wakoloni tu lakin kimsingi hayana maana yoyote wala athari zozote kiuchumi, kiutamaduni wala kisiasa.
Samahaini mkuu, kunaweza kukawa na utofauti na hii picha?Kwa kweli ni Jambo la Aibu kusahau mambo muhim hivi! ina maana Dangote kicheo ni mkubwa kuliko mama yetu?
Hizi aibu zisijirudie! hata mpiga picha hajui protokali?
daah noma kweliView attachment 1796531
Hivi mnalipwa au mnajitolea tu?Kuna maana ya kuwa na protocol, huyo mama yenu analojua ni lipi sasa kama ya maana hajui hata haya madogo pia yanamshinda?
[emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji3]
Na hiiKwa kweli ni Jambo la Aibu kusahau mambo muhim hivi! ina maana Dangote kicheo ni mkubwa kuliko mama yetu?
Hizi aibu zisijirudie! hata mpiga picha hajui protokali?
daah noma kweliView attachment 1796531
Kwa kweli ni Jambo la Aibu kusahau mambo muhim hivi! ina maana Dangote kicheo ni mkubwa kuliko mama yetu?
Hizi aibu zisijirudie! hata mpiga picha hajui protokali?
daah noma kweliView attachment 1796531
Sasa ndio umewachanganya wajuaji