google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
mambo mengine yanaumiza kichwa tu ngoja nijitafutie ugali wangu nile nilale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani watu wanachukulia poa sana hio nafasi
Aisee umemuaibisha Mtemi Mpambaliato. Ulipoweka hii simuoni tena na wapondaji wenzakeSamahaini mkuu, kunaweza kukawa na utofauti na hii picha? View attachment 1796568
Wako sawa mzee.Kwa kweli ni Jambo la Aibu kusahau mambo muhim hivi! ina maana Dangote kicheo ni mkubwa kuliko mama yetu?
Hizi aibu zisijirudie! hata mpiga picha hajui protokali?
daah noma kweliView attachment 1796531
Kwa kweli ni Jambo la Aibu kusahau mambo muhim hivi! ina maana Dangote kicheo ni mkubwa kuliko mama yetu?
Hizi aibu zisijirudie! hata mpiga picha hajui protokali?
daah noma kweliView attachment 1796531
Iko sawa tu mbona. Dangote ana hela kuliko rais. So mwenye hela ndo mkubwa kama hujui ilo utakuwa chiziKwa kweli ni Jambo la Aibu kusahau mambo muhim hivi! ina maana Dangote kicheo ni mkubwa kuliko mama yetu?
Hizi aibu zisijirudie! hata mpiga picha hajui protokali?
daah noma kweliView attachment 1796531
Kazi ya urais ni ngumu. lazima uchoke. na si kwa sababu ulizozisema hapoSSH anaonekana mwenye mawazo sana, ashaanza kuuza nchi ovyo ovyo na kuwapa ulaji wana mtandao, hiyo huzuni ni ya nini ?
ndio rais sasa. kwamba akikosea protocol ndio atakosa urais au?Kuna maana ya kuwa na protocol, huyo mama yenu analojua ni lipi sasa kama ya maana hajui hata haya madogo pia yanamshinda?
Mleta uzi njoo utoe maelezo, hapa mbona jiwe yupo kushoto pia?
Kwa kweli ni Jambo la Aibu kusahau mambo muhim hivi! ina maana Dangote kicheo ni mkubwa kuliko mama yetu?
Hizi aibu zisijirudie! hata mpiga picha hajui protokali?
daah noma kweliView attachment 1796531
Mama anapunguza kilo tu. Na bado miaka minne inamsubiri. Betina yuleee
Akikujibu nishtueSamahaini mkuu, kunaweza kukawa na utofauti na hii picha? View attachment 1796568
Hawezi kuja tena huyo....Akikujibu nishtue
Yaani "Legacy" Defenders mnatia aibu sana, eti kwa sababu tu ndoto yenu ya kutaka awepo Jiwe imekufa!!!Kuna maana ya kuwa na protocol, huyo mama yenu analojua ni lipi sasa kama ya maana hajui hata haya madogo pia yanamshinda?