IKULU, inakuwaje Rais anasimama upande wa kushoto halafu Dangote kulia? Hamna watu wa Protocol?

IKULU, inakuwaje Rais anasimama upande wa kushoto halafu Dangote kulia? Hamna watu wa Protocol?

Mambo mengine mkuu tumerithi Kwa wakoloni tu lakin kimsingi hayana maana yoyote wala athari zozote kiuchumi, kiutamaduni wala kisiasa.
EeenHeee!

Ninakubaliana na wewe; lakini kesho kutwa tusikie jina la Rais likitamkwa la mwisho kwenye hadhara fulani hivi, halafu tusikilize makelele yatakakotoka, pamoja na kwamba kwa kufanya hivyo hakutuongezei pato lolote.
 
Hii picha ni ile ile kama iliyopo hapo juu ila wahusika wamepishanishwa namana ya kusimama kwa kuchezea picha

Kuthibitisha angalia maeneo yafuatayo
1. Mwelekeo wa ngazi na zulia jekundu
2. Swichi nyekundu ya king'ora hapo kwenye langu la kuingilia mjengoni
3. Mkono wa Mh Rais SSH ambao haukukunjwa ngumi
4. Mguu ambao kiatu kimefunikwa na gauni
5. Mwinamo wa shingo wa Mh Rais SSH
6. Taswira ya Dangote alivyosimama, mwelekeo wa uso na miguu ilivyosimama
7. Swichi nyekendu iliyonyuma ya Dangote amepinduka nayo upande ule ule
8. Maandishi yaliyo chini ya nembo ya bibi na bwana yamepinduka kinyume nyume

Hitimisho picha imechezewa kuhalalisha changamoto ambayo mtoa mada amepewa na mdau wa JF, kwa hiyo picha ya kwanza kabisa na hii hapa ni moja .
We jamaa ndo umenitoa matongotongoo,nimeaanglia upya Ni ukwel unachosema🙌
 
Tafuta pesa mkuu.
Mwanaume ukikosa pesa unakuwa mtu wa kufikiri mambo ya hovyo hovyo yasiyo na tija yeyote.
 
Dangote amesimama upande wa kulia wa mama samia.

Wajuaji wanataka Dangote asimame upande wa kushoto wa Mama Samia. Umeelewa?

Kama bado hujaelewa njoo PM
Alaaaah! Kuuuumbe,
Shukrani kwa ufafanuzi lakini PM hiyo kwiooo
 
SSH anaonekana mwenye mawazo sana, ashaanza kuuza nchi ovyo ovyo na kuwapa ulaji wana mtandao, hiyo huzuni ni ya nini ?
Something wrong, na angalia vidole vya mkono wake wa kushoto as hayuko relaxed.
 
Hii picha ni ile ile kama iliyopo hapo juu ila wahusika wamepishanishwa namana ya kusimama kwa kuchezea picha

Kuthibitisha angalia maeneo yafuatayo
1. Mwelekeo wa ngazi na zulia jekundu
2. Swichi nyekundu ya king'ora hapo kwenye langu la kuingilia mjengoni
3. Mkono wa Mh Rais SSH ambao haukukunjwa ngumi
4. Mguu ambao kiatu kimefunikwa na gauni
5. Mwinamo wa shingo wa Mh Rais SSH
6. Taswira ya Dangote alivyosimama, mwelekeo wa uso na miguu ilivyosimama
7. Swichi nyekendu iliyonyuma ya Dangote amepinduka nayo upande ule ule
8. Maandishi yaliyo chini ya nembo ya bibi na bwana yamepinduka kinyume nyume

Hitimisho picha imechezewa kuhalalisha changamoto ambayo mtoa mada amepewa na mdau wa JF, kwa hiyo picha ya kwanza kabisa na hii hapa ni moja .
Usinifokee
 
Hii umeiedit si halisia kama ya mtoa post. Tazama hapo juu kwenye nembo ya taifa ndipo utaelewa, kama vp fanya kuedit na hiyo nembo ili mjadala uendelee
Yaani tena ka edit kiboya kweli,
Alisahau kurekebisha nembo,
Imemuumbua
 
hadi picha protocol....protokalii ya nyokooo
 
Dah! watu mnakashfa sio kawaida[emoji23][emoji23]
Hebu jiulize tu na wewe kitendo cha Samia kukaa kushoto kimemshusha cheo kutoka Urais hadi mwenyekiti wa kijiji au bado ni Rais wa JMT?

Mleta mada hana pesa na ana muda mwingi bila kitu cha kufanya ndio maana anapata muda wa kufikiri na kuleta useless threads kama hizi.
 
1621886128515.png
1621886178068.png
1621886225437.png
 
Back
Top Bottom