Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masukuma yalitaka kumsakama mama bila sababu, mbona na dubwasha lao liko kushoto? Umeyakomesha!Samahaini mkuu, kunaweza kukawa na utofauti na hii picha? View attachment 1796568
Umenena vyema sn mkuuMambo mengine mkuu tumerithi Kwa wakoloni tu lakin kimsingi hayana maana yoyote wala athari zozote kiuchumi, kiutamaduni wala kisiasa.
Watu wengine wanamshambulia Rais sio kwa hoja zenye mantiki bali kwa jinsia yake.Samahaini mkuu, kunaweza kukawa na utofauti na hii picha? View attachment 1796568
Paskali muache tu kwa kuwa kwake mtoto hakuwa riziki. Mwendazake aliondoka kabla ya kutimiza ahadi yake kwa sukuma gang wengi, ikiwa ni pamoja na mwenzetu Paskali.Ngoja aje Pascal Mayalla atusaidie katika hili!
Wewe ni sukule na mjane wa mwendazake. Mfuate kaburini.Dangote is back trying to exploit the weekness of the new president.
Lord have mercy on us!
Tanzania is listed back on Alibaba and Ebay, up for grabs to the highest bidder.
Aliikua nayo moja tu na ile oversize.JPM alikuwa anapenda sana suti ya bluu kama hiyo alovaa Aliko Dangote.
Wako sawa ila tails in chafu, watu wa Usafi wafanye kazi vizuri hizi picture zinaoneka dunia nzima, wanataka kumwaibasha Mama.Kwa kweli ni Jambo la Aibu kusahau mambo muhim hivi! ina maana Dangote kicheo ni mkubwa kuliko mama yetu?
Hizi aibu zisijirudie! hata mpiga picha hajui protokali?
daah noma kweliView attachment 1796531
Sio kazi ndogo kuiweka sawa nchi iliyokuwa inaelekea mtaroni...Mama iñaonekana amechoka, Hakika anahitaji likizo
Mnajitia pressure bure tu, sijui kwa nini mataga ni waoga wa challenge kama mwendazake?SSH anaonekana mwenye mawazo sana, ashaanza kuuza nchi ovyo ovyo na kuwapa ulaji wana mtandao, hiyo huzuni ni ya nini ?
Wanajitolea ama wanaumwa uti wa mgongoa kila kitu wanaona kimepindaHivi mnalipwa au mnajitolea tu?
Dah! Wote ni marehemu 🥺
Wamepoteana 🤣🤣🤣Yaani "Legacy" Defenders mnatia aibu sana, eti kwa sababu tu ndoto yenu ya kutaka awepo Jiwe imekufa!!!
Sasa Rais na mambo ya protocol anahusika vipi?!
JIWE IS DEAD... mtahangaika sana MATAGA, na matokeo yake ndo hayo mtabaki kulia lia hata kwa mambo ya kijinga!!!
Halafu ulivyo mnafiki, unasahau hata wakati wa Jiwe, Dangote alienda Ikulu na Jiwe alijichekesha chekesha ile mbaya, lakini akamuona hopeless tu!!!
Btw, kuna tofauti ya usimamaji kati ya Samia na Dangote hapo juu, na hapa chini:-?
Endeleeni kuteseka na bado moto waja!SSH anaonekana mwenye mawazo sana, ashaanza kuuza nchi ovyo ovyo na kuwapa ulaji wana mtandao, hiyo huzuni ni ya nini ?