Imagine,yaani watu wanachukulia poa sana hio nafasi
Kwa kweli ni Jambo la Aibu kusahau mambo muhim hivi! ina maana Dangote kicheo ni mkubwa kuliko mama yetu? Hizi aibu zisijirudie! hata mpiga picha hajui protokali? daah noma kweliView attachment 1796531
... Dangote ni Africa's #1. Sio unapenda showoff wakati unabebwa tu na mfumo.JPM alikuwa anapenda sana suti ya bluu kama hiyo alovaa Aliko Dangote.
Akikujibu nistue tukapige kimpumu pamojaSamahaini mkuu, kunaweza kukawa na utofauti na hii picha? View attachment 1796568
Mwanamke husimama upande UpiKwa kweli ni Jambo la Aibu kusahau mambo muhim hivi! ina maana Dangote kicheo ni mkubwa kuliko mama yetu?
Hizi aibu zisijirudie! hata mpiga picha hajui protokali?
daah noma kweliView attachment 1796531
Bado mpk 2025 tuendelee kudemkademkaMama iñaonekana amechoka, Hakika anahitaji likizo
Kunufaika gani huko kila siku sisi ndio tunabaki maskini ?????Yaani tukiona tz inakuwa karibu na walioendelea tunawaza kuibiwa na si kunufaika.
Kwa kweli ni Jambo la Aibu kusahau mambo muhim hivi! ina maana Dangote kicheo ni mkubwa kuliko mama yetu?
Hizi aibu zisijirudie! hata mpiga picha hajui protokali?
daah noma kweliView attachment 1796531