Ikulu: Kikao cha kusaini hati za kuondoa hoja tano za Muungano zilizotatuliwa. Sasa rasmi mafuta na gesi kila mtu kivyake

Sawa
 
Mi hata sielewi, wameondoa hoja tano, kisha wamezipeleka wapi, mwanzoni hizo hoja zilikuwa zimehefadhiwa wapi na sasa zimepelekwa wapi?.
 
Naunga mkono kwenye utekelezaji wa sera za serikali lakini Serikali za majimbo hapana.

Watu wenye kuleta maendeleo ya haraka kwa ufanisi na ueledi ni mameya wa majiji na wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya.

Hawa watu ndo iwe jicho la maendeleo ya kwa maeneo hayo ambayo wewe watamani yawe ni majimbo.

Mfano ni mvua kubwa zilizonyesha mkoani Dar-es-salaam wa kulaumiwa ni serikali kuu au serikali za mitaa kupitia meya wa jiji na timu yake ya uongozi mkoani Dar?

Je, jiji la Dar lapaswa kuendelea kuachiwa ili siku yale maziwa na majito yarudi kama ilivyokuwa miaka ya 50s?

Maana dalili zote zaonyesha wazi kwamba sehemu kubwa ya mji huu ilikuwa ni maziwa na vijito.

Hivyo ukusanyaji kodi mikoani na wilayani hufanywa kabla ya kuangalia ni asilimia ngapi iende serikali kuu.

Pa kupigania ni kufahamu ni mfumo upi watumiwa kupeleka fedha za mapato serikali kuu.

Ila masuala kama vito vya asili na maliasili kama mafuta ni jukumu la Zanzibar kuhakikisha vyatumika kuchochea maendeleo.
 
Yaani huwaga sielewi hz Habari za Muungano. Nafikiri Wazanxibar wapewe Haki yao, wawe huru, FAIDA ya wao kuwa huru, fursa zitakuwa kubwa sana. Kwa ushirikiano wa kimataifa assume wanapeleka maafisa ubalozi nchi 50, maana yake zaidi ya wazanzibar 200 atakuwa ubalozini, bado kwenye madhirika ya Kimataifa, bado nk. Yaani watakuwa juu sana. Tatizo kuna Viongozi wananufaika sana na Aina hii ya muungano ndio wanaendelea hii hali. Wamejenga zenji, dar na Dodoma. Lkn WANANCHI wa kawaida kwao hakuna jipya lolote. Ngoja tuone kinachoendelea hapo 28/10 ambapo wazanzibar wataamua hatuma yao.
 
Kinachojadiliwa ni kero za muungano kwenye mambo ya muungano sio za Tanganyika au za Zanzibar!!! huelewi?.Umeona hapo wanajadili kero za nchi moja moja? Hapo ni kamati ya mambo ya muungano

"Nchi moja moja"!! Kwani zipo nchi ngapi?
 
Kwa 7bu ya uchaguzi?
 
Leo suala la Kikatiba linaondollewa na Serikali?
 
Wakati serikali inahamasisha watu waende kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi mkuu, Chadema walikua wakihamasisha watu wasiende kujiandikisha mpaka ipatikane katiba Mpya Chakushangaza baada ya matokeo kutangazwa watasema wameibiwa kura.
Walitakiwa kususia Uchaguzi Mkuu kama walivyosusia chaguzi za serikali za mitaa.Sababu zilizofanya wasusie chaguzi za serikali za mitaa bado ziko varied hata uchaguzi mkuu huu.
Upinzani wangetumia nguvu nyingi kuilazimisha serikali kutunga katiba mpya kwanza,uchaguzi baadae.
Hata hii 28 October wanaenda kulia tu.
 
Swali langu moja tu kwa CCM na Mataga kwa ujumla, Kiko wapi kitalu cha uchimbaji cha TPDC?
 
Mi hata sielewi,,wameondoa hoja tano,kisha wamezipeleka wapi,,mwanzoni hizo hoja zilikuwa zimehefadhiwa wapi na sasa zimepelekwa wapi?.
Ukishapata jibu waulize mwakilishi wa Tanganyika alikuwa nani kwenye hayo mazungumzo?
 
Wakati serikali inahamasisha watu waende kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi mkuu, Chadema walikua wakihamasisha watu wasiende kujiandikisha mpaka ipatikane katiba Mpya Chakushangaza baada ya matokeo kutangazwa watasema wameibiwa kura.
Kwa taarifa yako wapiga kura ni 29m+, nusu ya watanzania wote, kama mlipika data mkitegemea kunajisi box la kura, basi safari hii mmeliwa.
 
Hahahaaa... CCM, CCM,... acha kichaa. Tangu 1964? Leo majuma 2 kuelekea kwenye uchaguzi eti umetatua kero? Anayeiamini CCM kichaa tu - kama Magufuli na Mpina.
kwaiyo kwa sababu tunaelekea kwenye uchaguzi ulitaka mambo yote yasimame ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…