Saa mbaya utumbo huo hauna nafasi kwa sasa,watajijua wenyewe hapa kazi au sio ? Tunamwondosha adui CCM hayo mambo si muhimu kama watu wanaheshimiana ,nchi inakuwepo katika umoja amani na utendaji wa haki na ufuatwaji wa sheria.
Kama hayo hayapo hizo geresha hazina mashiko wakae nazo tu kwenye madroo.
Adui CCM amebakia na kura za wizi tu ndizo atakazopata ,wananchi wote hapo mwanzo ilikuwa walio wengi, lakini sasa wananchi wote walioserikalini na kwengine kote wametia nia kuiondoa CCM wanasema liwalo na liwe,adui nambari one Tanzania.
CCM nuksi na wanatia fitna baina ya waTanzania ,inafikia waTanzania wanachukiana raia anamchukia polisi ,polisi anamchukia raia hivyo hivyo kwa vyombo vingine vya serikali vikiwemo vya ulinzi na usalama,CCM wabaya sana ni chama kimekuwa kibaya sana na imewabidi wakiweke pembeni,watu hawafahamiani kwa ajili ya upandikizaji wa chuki,ccm wanapandikiza chuki hata baina ya ndugu na ndugu.