IKULU mawasiliano inahitaji data analyst and propagandist, sio mwanahabari otherwise Rais atabadili sana. Mchukueni David Kafulila

IKULU mawasiliano inahitaji data analyst and propagandist, sio mwanahabari otherwise Rais atabadili sana. Mchukueni David Kafulila

Mimi nakuambia ukweli,kama hutaki siwezi kukulazimisha. Hili mlilolifanya mmemualibia sana badala ya kumjenga. Angalia hata comments za wadau. Wakati mwingine chawa mnaharibu badala ya kujenga
Kaa kimya wewe na ujinga wako. Sisi wananchi tunaouona na kufahamu uwezo alionao Mheshimiwa Kafulila ndio maana tunamuunga mkono mleta hoja . Mheshimiwa Kafulila ni jembe kwelikweli
 
Sasa wewe BAVICHA unataka Rais aangalie comment zako?

Kwani Rais hamjui Kafulila?

Mimi nimetoa hoja tena kama mwanaCCM ninayetamani yafanyike maboresho pale mawasiliano IKULU.

HAYA SIO MAWAZO YA KAFULILA,
HAYA NI MAWAZO YANGU CM 1774858

KAMA NIMEKOSEA KUMTAJA BASI NI MIMI SIO KAFULILA.

ILA BADO NAAMINI HATA WEWE UNAJUA KAFULILA NDIO MWENYEWE.

====
Kwanza nikutoe hofu tu kuwa hakuna sehemu nimeandika kuwa mimi ni BAVICHA. Pili sijamwandikia Rais hiyo comment bali wewe ambaye ni chawa wake ambaye badala ya kumsaidia mmemvua nguo
 
View attachment 3010881
===
Msemaji wa IKULU ni mtu muhimu sana kwani ndio mtu wa kwanza kumpaka Rais mafuta mbele ya umma wa Tanzania.

Mkurugenzi wa IKULU Mawasiliano anazungumza badala ya Rais wa nchi hivyo lazima ajue karibu Kila kitu kinachomzunguka Rais Kwa mapana yake.

Kazi ya Mkurugenzi wa IKULU sio kusema tu Rais amekwenda Korea Kwa ziara na kutuma picha NO, Ni zaidi ya hayo.

Mkurugenzi wa IKULU kazi yake ni kuonesha faida ya hiyo ziara kitakwimu , Matumizi na kila faida iliyopatika kitakwimu huku akiwa na rejea mbalimbali za anachokisema.

Msemaji wa IKULU lazima aijue vizuri Tanzania ikiwa ni pamoja na Mila na desturi za Kila kundi,

Msemaji wa IKULU lazima aweze kufanya propaganda vizuri hasa Political Numbers hii hapa lazima aiweze sawa sawa.

Msemaji wa IKULU lazima awe source ya habari nyingi hapa ndani ya nchi na ajue vizuri kuitumia media ya local na internation media.

Msemaji wa IKULU lazima ajifunze kusema uongo Mtakatifu hasa pale anapogundua boss wake kateleza kimatendo au kimaneno.

Msemaji ya IKULU anapashwa kuwa na maarifa zaidi ya Kiuchumi na kisiasa kwani ndio agenda kubwa za Taifa hili.

Huyu David Kafulila pamoja na kwamba sio Msemaji wa IKULU ila anaitetea Serikali kwa kiasi kikubwa

Mtakubaliana na mimi kama kweli tunataka habari za IKULU zipate nguvu mbele ya umma wa Watanzania hakuna namna tutamkwepa Kafulila kwa sasa.

Kwa mtazamo wangu Kafulila ndio kijana pekee asiye Mbunge Wala Waziri anayeweza kuwa Msemaji wa IKULU kwa wakati huu ili kuifanya IKULU kutoka kuwa reporter wa habari mpaka kuwa source wa habari.


Kafulila sawa
 
Siasa na ugali. Kafulila huyu aliwahi tufanya tuandamane kuipinga CCM hii hii anayoipamba kwa mapambio leo. 😁
 
View attachment 3010881
===
Msemaji wa IKULU ni mtu muhimu sana kwani ndio mtu wa kwanza kumpaka Rais mafuta mbele ya umma wa Tanzania.

Mkurugenzi wa IKULU Mawasiliano anazungumza badala ya Rais wa nchi hivyo lazima ajue karibu Kila kitu kinachomzunguka Rais Kwa mapana yake.

Kazi ya Mkurugenzi wa IKULU sio kusema tu Rais amekwenda Korea Kwa ziara na kutuma picha NO, Ni zaidi ya hayo.

Mkurugenzi wa IKULU kazi yake ni kuonesha faida ya hiyo ziara kitakwimu , Matumizi na kila faida iliyopatika kitakwimu huku akiwa na rejea mbalimbali za anachokisema.

Msemaji wa IKULU lazima aijue vizuri Tanzania ikiwa ni pamoja na Mila na desturi za Kila kundi,

Msemaji wa IKULU lazima aweze kufanya propaganda vizuri hasa Political Numbers hii hapa lazima aiweze sawa sawa.

Msemaji wa IKULU lazima awe source ya habari nyingi hapa ndani ya nchi na ajue vizuri kuitumia media ya local na internation media.

Msemaji wa IKULU lazima ajifunze kusema uongo Mtakatifu hasa pale anapogundua boss wake kateleza kimatendo au kimaneno.

Msemaji ya IKULU anapashwa kuwa na maarifa zaidi ya Kiuchumi na kisiasa kwani ndio agenda kubwa za Taifa hili.

Huyu David Kafulila pamoja na kwamba sio Msemaji wa IKULU ila anaitetea Serikali kwa kiasi kikubwa

Mtakubaliana na mimi kama kweli tunataka habari za IKULU zipate nguvu mbele ya umma wa Watanzania hakuna namna tutamkwepa Kafulila kwa sasa.

Kwa mtazamo wangu Kafulila ndio kijana pekee asiye Mbunge Wala Waziri anayeweza kuwa Msemaji wa IKULU kwa wakati huu ili kuifanya IKULU kutoka kuwa reporter wa habari mpaka kuwa source wa habari.


Huyu bwana ni data analyst mzuri naamini IKULU itakuwa na hoja nzito nzito.
 
View attachment 3010881
===
Msemaji wa IKULU ni mtu muhimu sana kwani ndio mtu wa kwanza kumpaka Rais mafuta mbele ya umma wa Tanzania.

Mkurugenzi wa IKULU Mawasiliano anazungumza badala ya Rais wa nchi hivyo lazima ajue karibu Kila kitu kinachomzunguka Rais Kwa mapana yake.

Kazi ya Mkurugenzi wa IKULU sio kusema tu Rais amekwenda Korea Kwa ziara na kutuma picha NO, Ni zaidi ya hayo.

Mkurugenzi wa IKULU kazi yake ni kuonesha faida ya hiyo ziara kitakwimu , Matumizi na kila faida iliyopatika kitakwimu huku akiwa na rejea mbalimbali za anachokisema.

Msemaji wa IKULU lazima aijue vizuri Tanzania ikiwa ni pamoja na Mila na desturi za Kila kundi,

Msemaji wa IKULU lazima aweze kufanya propaganda vizuri hasa Political Numbers hii hapa lazima aiweze sawa sawa.

Msemaji wa IKULU lazima awe source ya habari nyingi hapa ndani ya nchi na ajue vizuri kuitumia media ya local na internation media.

Msemaji wa IKULU lazima ajifunze kusema uongo Mtakatifu hasa pale anapogundua boss wake kateleza kimatendo au kimaneno.

Msemaji ya IKULU anapashwa kuwa na maarifa zaidi ya Kiuchumi na kisiasa kwani ndio agenda kubwa za Taifa hili.

Huyu David Kafulila pamoja na kwamba sio Msemaji wa IKULU ila anaitetea Serikali kwa kiasi kikubwa

Mtakubaliana na mimi kama kweli tunataka habari za IKULU zipate nguvu mbele ya umma wa Watanzania hakuna namna tutamkwepa Kafulila kwa sasa.

Kwa mtazamo wangu Kafulila ndio kijana pekee asiye Mbunge Wala Waziri anayeweza kuwa Msemaji wa IKULU kwa wakati huu ili kuifanya IKULU kutoka kuwa reporter wa habari mpaka kuwa source wa habari.


Huyu anafaa kugombea Urais 2025. Maana naona huyu ndo ana akili katika wote waliopo. Ana data ana soma na kama ulivyosema na mchumi. Ni bora agombee urais.
 
View attachment 3010881
===
Msemaji wa IKULU ni mtu muhimu sana kwani ndio mtu wa kwanza kumpaka Rais mafuta mbele ya umma wa Tanzania.

Mkurugenzi wa IKULU Mawasiliano anazungumza badala ya Rais wa nchi hivyo lazima ajue karibu Kila kitu kinachomzunguka Rais Kwa mapana yake.

Kazi ya Mkurugenzi wa IKULU sio kusema tu Rais amekwenda Korea Kwa ziara na kutuma picha NO, Ni zaidi ya hayo.

Mkurugenzi wa IKULU kazi yake ni kuonesha faida ya hiyo ziara kitakwimu , Matumizi na kila faida iliyopatika kitakwimu huku akiwa na rejea mbalimbali za anachokisema.

Msemaji wa IKULU lazima aijue vizuri Tanzania ikiwa ni pamoja na Mila na desturi za Kila kundi,

Msemaji wa IKULU lazima aweze kufanya propaganda vizuri hasa Political Numbers hii hapa lazima aiweze sawa sawa.

Msemaji wa IKULU lazima awe source ya habari nyingi hapa ndani ya nchi na ajue vizuri kuitumia media ya local na internation media.

Msemaji wa IKULU lazima ajifunze kusema uongo Mtakatifu hasa pale anapogundua boss wake kateleza kimatendo au kimaneno.

Msemaji ya IKULU anapashwa kuwa na maarifa zaidi ya Kiuchumi na kisiasa kwani ndio agenda kubwa za Taifa hili.

Huyu David Kafulila pamoja na kwamba sio Msemaji wa IKULU ila anaitetea Serikali kwa kiasi kikubwa

Mtakubaliana na mimi kama kweli tunataka habari za IKULU zipate nguvu mbele ya umma wa Watanzania hakuna namna tutamkwepa Kafulila kwa sasa.

Kwa mtazamo wangu Kafulila ndio kijana pekee asiye Mbunge Wala Waziri anayeweza kuwa Msemaji wa IKULU kwa wakati huu ili kuifanya IKULU kutoka kuwa reporter wa habari mpaka kuwa source wa habari.


Kafulila sawa kabisa nakubali
 
Huyu anafaa kugombea Urais 2025. Maana naona huyu ndo ana akili katika wote waliopo. Ana data ana soma na kama ulivyosema na mchumi. Ni bora agombee urais.
2025 Rais ni mmoja tu Mama Samia Suluhu Hassan.

Kafulila hana ndoto ya Urais ataomba ridhaa Kigoma Kask kuwa mbunge wao,
Tutarajie spana tu kwa wapinzani Bungeni.
 
2025 Rais ni mmoja tu Mama Samia Suluhu Hassan.

Kafulila hana ndoto ya Urais ataomba ridhaa Kigoma Kask kuwa mbunge wao,
Tutarajie spana tu kwa wapinzani Bungeni.
Kwa sifa ulizo mpa anafaa maana kwa sasa ni changamoto sana. KAFULILA AGOMBEE URAIS 2025
 
Kwa sifa ulizo mpa anafaa maana kwa sasa ni changamoto sana. KAFULILA AGOMBEE URAIS 2025
KAFULILA najua hana mpango wa Urais,

2025 RAIS NI MMOJA TU MAMA SAMIA SULUHU HASSAN.

IMG-20240607-WA0063.jpg
 
Tatizo la hii nchi ukiwa tu na confidence yakusimamia na kusema uongo unaonekana kichwa na ukiwa unafanya kazi professional na kusema ukweli basi Huna akili na msaliti,kifupi wajinga wengi ndio wana nafasi zakimaamuzi na ndio wanaliumiza taifa ndio mana Leo ukichukua mtaalamu nguli Prof au Dr ukimpa tu teuzi basi anapoapa tubpale na akili ndio anakabidhi sasa hatuwezi jenga taifa la watu waongo nakuchukia wanaosema ukweli hatuwezi kuwa na watu wanaopenda kusifiwa tu kwakuamini wako sahihi always "cognitive bias" inasumbua wengi
 
View attachment 3010881
===
Msemaji wa IKULU ni mtu muhimu sana kwani ndio mtu wa kwanza kumpaka Rais mafuta mbele ya umma wa Tanzania.

Mkurugenzi wa IKULU Mawasiliano anazungumza badala ya Rais wa nchi hivyo lazima ajue karibu Kila kitu kinachomzunguka Rais Kwa mapana yake.

Kazi ya Mkurugenzi wa IKULU sio kusema tu Rais amekwenda Korea Kwa ziara na kutuma picha NO, Ni zaidi ya hayo.

Mkurugenzi wa IKULU kazi yake ni kuonesha faida ya hiyo ziara kitakwimu , Matumizi na kila faida iliyopatika kitakwimu huku akiwa na rejea mbalimbali za anachokisema.

Msemaji wa IKULU lazima aijue vizuri Tanzania ikiwa ni pamoja na Mila na desturi za Kila kundi,

Msemaji wa IKULU lazima aweze kufanya propaganda vizuri hasa Political Numbers hii hapa lazima aiweze sawa sawa.

Msemaji wa IKULU lazima awe source ya habari nyingi hapa ndani ya nchi na ajue vizuri kuitumia media ya local na internation media.

Msemaji wa IKULU lazima ajifunze kusema uongo Mtakatifu hasa pale anapogundua boss wake kateleza kimatendo au kimaneno.

Msemaji ya IKULU anapashwa kuwa na maarifa zaidi ya Kiuchumi na kisiasa kwani ndio agenda kubwa za Taifa hili.

Huyu David Kafulila pamoja na kwamba sio Msemaji wa IKULU ila anaitetea Serikali kwa kiasi kikubwa

Mtakubaliana na mimi kama kweli tunataka habari za IKULU zipate nguvu mbele ya umma wa Watanzania hakuna namna tutamkwepa Kafulila kwa sasa.

Kwa mtazamo wangu Kafulila ndio kijana pekee asiye Mbunge Wala Waziri anayeweza kuwa Msemaji wa IKULU kwa wakati huu ili kuifanya IKULU kutoka kuwa reporter wa habari mpaka kuwa source wa habari.


Kafulila wa ukawa kijana wa NSSR MAGEUZI apewe kazi ya kumsemea rais? Unadhani CCM ni wasenge kiasi hicho?
Kama JPM (MSUKUMA) ALIWEZA MNUNUA KAFULILA HUYU AKIWA MSEMAJI SI NDO ATANUNULIWA HADI NA WAARABU? WAZUNGU ? AU UNAFIKIRI CCM WALIKUWA WANAPENDA TABIA ZA JPM ZA KUNUNUA UPINZANI?
 
Kafulila wa ukawa kijana wa NSSR MAGEUZI apewe kazi ya kumsemea rais? Unadhani CCM ni wasenge kiasi hicho?
Kama JPM (MSUKUMA) ALIWEZA MNUNUA KAFULILA HUYU AKIWA MSEMAJI SI NDO ATANUNULIWA HADI NA WAARABU? WAZUNGU ? AU UNAFIKIRI CCM WALIKUWA WANAPENDA TABIA ZA JPM ZA KUNUNUA UPINZANI?
🤣🤣🤣 Sisi tunaoandika hapa ndio CCM wenyewe na wewe unayebisha ni CHADEMA Sasa wapi na wapi hapo???
 
Mkuu hayo ni mawazo yangu tu kulingana na mienendo yake ya sasa, Amekuwa mtu anaitetea sana Serikali,

Kutoka hapa napata ujasiri wa kusema Kafulila anaweza haya.
Upo sahihi kabisa kuwa Mheshimiwa Kafulila anaweza imudu vyema sana nafasi hiyo ya ukurugenzi wa Mawasiliano ya Rais ikulu. Tuendelee kumuombea kila lenye heri.
 
Back
Top Bottom