air commander
Senior Member
- Jun 10, 2024
- 147
- 133
Mbatia alikula dili la wazawa wa Escrow wakamng'oa KafulilaWewe huna unalolijua.Ninamjua vizuri tokea huyu Kafulila akiwa Chadema akaja hamia NCCR akataka Fukuzwa akamlilia machozi Mbatia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbatia alikula dili la wazawa wa Escrow wakamng'oa KafulilaWewe huna unalolijua.Ninamjua vizuri tokea huyu Kafulila akiwa Chadema akaja hamia NCCR akataka Fukuzwa akamlilia machozi Mbatia.
Naona chuki binafsi ndio inayokusumbua. Huna hata aibu unavyosema akaenda kumlilia Mbatia. Mheshimiwa Kafulila ni wa kumlilia Mbatia? Kwa taarifa yako ni kuwa Mheshimiwa Kafulila ni jembe ambalo kila chama kingependa kuwa na watu aina yake ndani yake.Wewe huna unalolijua.Ninamjua vizuri tokea huyu Kafulila akiwa Chadema akaja hamia NCCR akataka Fukuzwa akamlilia machozi Mbatia.
Mheshimiwa Kafulila ni mtu Mzalendo sanaaMbatia alikula dili la wazawa wa Escrow wakamng'oa Kafulila
Acha ujinga wako hapaPili uraia wa Kafulila una mashaka mashaka
Ila bongo mambo ni mengi sanaAcha ujinga wako hapa
Kwanini wewe usiteuliwe? ni kwamba UWT hamtaki?Acha ujinga wako dogo. Mheshimiwa Kafulila ni jembe kwelikweli.atafaa sana katika nafasi hiyo.
Wewe una uhusiano gani na Kafulila? Sema tu ukweli.View attachment 3010881
===
Msemaji wa IKULU ni mtu muhimu sana kwani ndio mtu wa kwanza kumpaka Rais mafuta mbele ya umma wa Tanzania.
Mkurugenzi wa IKULU Mawasiliano anazungumza badala ya Rais wa nchi hivyo lazima ajue karibu Kila kitu kinachomzunguka Rais Kwa mapana yake.
Kazi ya Mkurugenzi wa IKULU sio kusema tu Rais amekwenda Korea Kwa ziara na kutuma picha NO, Ni zaidi ya hayo.
Mkurugenzi wa IKULU kazi yake ni kuonesha faida ya hiyo ziara kitakwimu , Matumizi na kila faida iliyopatika kitakwimu huku akiwa na rejea mbalimbali za anachokisema.
Msemaji wa IKULU lazima aijue vizuri Tanzania ikiwa ni pamoja na Mila na desturi za Kila kundi,
Msemaji wa IKULU lazima aweze kufanya propaganda vizuri hasa Political Numbers hii hapa lazima aiweze sawa sawa.
Msemaji wa IKULU lazima awe source ya habari nyingi hapa ndani ya nchi na ajue vizuri kuitumia media ya local na internation media.
Msemaji wa IKULU lazima ajifunze kusema uongo Mtakatifu hasa pale anapogundua boss wake kateleza kimatendo au kimaneno.
Msemaji ya IKULU anapashwa kuwa na maarifa zaidi ya Kiuchumi na kisiasa kwani ndio agenda kubwa za Taifa hili.
Huyu David Kafulila pamoja na kwamba sio Msemaji wa IKULU ila anaitetea Serikali kwa kiasi kikubwa
Mtakubaliana na mimi kama kweli tunataka habari za IKULU zipate nguvu mbele ya umma wa Watanzania hakuna namna tutamkwepa Kafulila kwa sasa.
Kwa mtazamo wangu Kafulila ndio kijana pekee asiye Mbunge Wala Waziri anayeweza kuwa Msemaji wa IKULU kwa wakati huu ili kuifanya IKULU kutoka kuwa reporter wa habari mpaka kuwa source wa habari.
Anaweza sana kumudu nafasi hiyo maana ana uwezo mkubwa sana wa kiuongozi na uelewa wa masuala mbalimbaliKafulila anaweza kabisa
Unazijua Sheria za jf?Wewe una uhusiano gani na Kafulila? Sema tu ukweli.
Jf mambo ni mengi sana ila Kafulila ni mzuri.Unazijua Sheria za jf?
Hakuna mambo ya kutambuana ni hoja tu hapa, Ndio maana ya jamii forum
KAFULILA ni sawaaView attachment 3010881
===
Msemaji wa IKULU ni mtu muhimu sana kwani ndio mtu wa kwanza kumpaka Rais mafuta mbele ya umma wa Tanzania.
Mkurugenzi wa IKULU Mawasiliano anazungumza badala ya Rais wa nchi hivyo lazima ajue karibu Kila kitu kinachomzunguka Rais Kwa mapana yake.
Kazi ya Mkurugenzi wa IKULU sio kusema tu Rais amekwenda Korea Kwa ziara na kutuma picha NO, Ni zaidi ya hayo.
Mkurugenzi wa IKULU kazi yake ni kuonesha faida ya hiyo ziara kitakwimu , Matumizi na kila faida iliyopatika kitakwimu huku akiwa na rejea mbalimbali za anachokisema.
Msemaji wa IKULU lazima aijue vizuri Tanzania ikiwa ni pamoja na Mila na desturi za Kila kundi,
Msemaji wa IKULU lazima aweze kufanya propaganda vizuri hasa Political Numbers hii hapa lazima aiweze sawa sawa.
Msemaji wa IKULU lazima awe source ya habari nyingi hapa ndani ya nchi na ajue vizuri kuitumia media ya local na internation media.
Msemaji wa IKULU lazima ajifunze kusema uongo Mtakatifu hasa pale anapogundua boss wake kateleza kimatendo au kimaneno.
Msemaji ya IKULU anapashwa kuwa na maarifa zaidi ya Kiuchumi na kisiasa kwani ndio agenda kubwa za Taifa hili.
Huyu David Kafulila pamoja na kwamba sio Msemaji wa IKULU ila anaitetea Serikali kwa kiasi kikubwa
Mtakubaliana na mimi kama kweli tunataka habari za IKULU zipate nguvu mbele ya umma wa Watanzania hakuna namna tutamkwepa Kafulila kwa sasa.
Kwa mtazamo wangu Kafulila ndio kijana pekee asiye Mbunge Wala Waziri anayeweza kuwa Msemaji wa IKULU kwa wakati huu ili kuifanya IKULU kutoka kuwa reporter wa habari mpaka kuwa source wa habari.
Huyo amechanganyikiwa.Unazijua Sheria za jf?
Hakuna mambo ya kutambuana ni hoja tu hapa, Ndio maana ya jamii forum
Acheni uzushi wenu hapa.Huyu kila siku ni kujipigia promo tuuuu. Hivi hana kazi ya kufanya?
Hata wewe naona unajipiga promo ila Kafulila anatufaa sanaHuyu kila siku ni kujipigia promo tuuuu. Hivi hana kazi ya kufanya?
Chuki ni mbaya sana hata hivyoNaona chuki binafsi ndio inayokusumbua. Huna hata aibu unavyosema akaenda kumlilia Mbatia. Mheshimiwa Kafulila ni wa kumlilia Mbatia? Kwa taarifa yako ni kuwa Mheshimiwa Kafulila ni jembe ambalo kila chama kingependa kuwa na watu aina yake ndani yake.
Kafulila ni sawa atawezaView attachment 3010881
===
Msemaji wa IKULU ni mtu muhimu sana kwani ndio mtu wa kwanza kumpaka Rais mafuta mbele ya umma wa Tanzania.
Mkurugenzi wa IKULU Mawasiliano anazungumza badala ya Rais wa nchi hivyo lazima ajue karibu Kila kitu kinachomzunguka Rais Kwa mapana yake.
Kazi ya Mkurugenzi wa IKULU sio kusema tu Rais amekwenda Korea Kwa ziara na kutuma picha NO, Ni zaidi ya hayo.
Mkurugenzi wa IKULU kazi yake ni kuonesha faida ya hiyo ziara kitakwimu , Matumizi na kila faida iliyopatika kitakwimu huku akiwa na rejea mbalimbali za anachokisema.
Msemaji wa IKULU lazima aijue vizuri Tanzania ikiwa ni pamoja na Mila na desturi za Kila kundi,
Msemaji wa IKULU lazima aweze kufanya propaganda vizuri hasa Political Numbers hii hapa lazima aiweze sawa sawa.
Msemaji wa IKULU lazima awe source ya habari nyingi hapa ndani ya nchi na ajue vizuri kuitumia media ya local na internation media.
Msemaji wa IKULU lazima ajifunze kusema uongo Mtakatifu hasa pale anapogundua boss wake kateleza kimatendo au kimaneno.
Msemaji ya IKULU anapashwa kuwa na maarifa zaidi ya Kiuchumi na kisiasa kwani ndio agenda kubwa za Taifa hili.
Huyu David Kafulila pamoja na kwamba sio Msemaji wa IKULU ila anaitetea Serikali kwa kiasi kikubwa
Mtakubaliana na mimi kama kweli tunataka habari za IKULU zipate nguvu mbele ya umma wa Watanzania hakuna namna tutamkwepa Kafulila kwa sasa.
Kwa mtazamo wangu Kafulila ndio kijana pekee asiye Mbunge Wala Waziri anayeweza kuwa Msemaji wa IKULU kwa wakati huu ili kuifanya IKULU kutoka kuwa reporter wa habari mpaka kuwa source wa habari.