IKULU mawasiliano inahitaji data analyst and propagandist, sio mwanahabari otherwise Rais atabadili sana. Mchukueni David Kafulila

Wewe huna unalolijua.Ninamjua vizuri tokea huyu Kafulila akiwa Chadema akaja hamia NCCR akataka Fukuzwa akamlilia machozi Mbatia.
Mbatia alikula dili la wazawa wa Escrow wakamng'oa Kafulila
 
Wewe huna unalolijua.Ninamjua vizuri tokea huyu Kafulila akiwa Chadema akaja hamia NCCR akataka Fukuzwa akamlilia machozi Mbatia.
Naona chuki binafsi ndio inayokusumbua. Huna hata aibu unavyosema akaenda kumlilia Mbatia. Mheshimiwa Kafulila ni wa kumlilia Mbatia? Kwa taarifa yako ni kuwa Mheshimiwa Kafulila ni jembe ambalo kila chama kingependa kuwa na watu aina yake ndani yake.
 
Ikulu hawajafanya teuzi bado
Au ndiyo vetting inayofanyika
Si mchezo

Ova
 
Wewe una uhusiano gani na Kafulila? Sema tu ukweli.
 
KAFULILA ni sawaa
 
Huyu kila siku ni kujipigia promo tuuuu. Hivi hana kazi ya kufanya?
 
Chuki ni mbaya sana hata hivyo
 
Kafulila ni sawa ataweza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…