IKULU mawasiliano inahitaji data analyst and propagandist, sio mwanahabari otherwise Rais atabadili sana. Mchukueni David Kafulila

Haka katoto ka binti ka MC kametoka wapi? Mbona kana mazoea sana?
 
Hili jamaa jembe sana
 
Kama Taifa tunatatizo la kuwa na viongozi waadilifu.
wengi wao ni wahuni , wazinzi, waasharati.
 
Atafanya sana huyu bwana mdogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…